Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Ulimwengu wa Spoti, Apr 30

    Ulimwengu wa Spoti, Apr 30

    Apr 30, 2018 01:03

    Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita......

  • Tanzania yaadhimisha miaka 54 ya muungano, wapinzani waitisha maandamano

    Tanzania yaadhimisha miaka 54 ya muungano, wapinzani waitisha maandamano

    Apr 26, 2018 03:29

    Tanzania leo inaadhimisha miaka 54 tangu Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda taifa moja la Tanzania huku baadhi ya wapinzani wakiitisha maandamano ya kuipinga serikali.

  • Polisi Tanzania yaimarisha usalama kuhusu maandamano, nayo Chadema yayakana

    Polisi Tanzania yaimarisha usalama kuhusu maandamano, nayo Chadema yayakana

    Apr 25, 2018 09:52

    Jeshi la Polisi nchini Tanzania limeimarisha usalama kila kona ya nchi, kutokana na tetesi za kufanyika maandamano ya kesho tarehe 26 Aprili na ambayo yamekuwa yakihimizwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii kwa ajili ya kupinga serikali ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo.

  • Mafuriko yashtadi Tanzania, watu tisa waripotiwa kufariki dunia huku mvua zikiendelea kunyesha

    Mafuriko yashtadi Tanzania, watu tisa waripotiwa kufariki dunia huku mvua zikiendelea kunyesha

    Apr 16, 2018 09:54

    Jeshi la polisi nchini Tanzania limetangaza kuwa hadi sasa watu tisa wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam kutokana na mafuriko yanayosababishwa na mvua kali zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti.

  • Bendera ya Palestina yapepea katika kilele cha Mlima Kilimanjaro

    Bendera ya Palestina yapepea katika kilele cha Mlima Kilimanjaro

    Apr 13, 2018 23:25

    Kikundi cha mabinti na vijana 16 wa Kipalestina kimefanikiwa kufika katika kilele cha Mlima Kilimanjaro nchini Tanzania na kupeperusha bendera ya Palestina katika mlima huo mrefu zaidi barani Afrika.

  • Zitto Kabwe: Watu wa Kigoma hawashindwi vita, hawatokubali kuonekana sio raia wa Tanzania (sauti)

    Zitto Kabwe: Watu wa Kigoma hawashindwi vita, hawatokubali kuonekana sio raia wa Tanzania (sauti)

    Apr 13, 2018 03:07

    Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, amelaani vitendo vya kupotezwa watu vinavyoendelea kujiri nchini Tanzania kikiwemo kitendo cha kupotezwa mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Kakonko mkoani humo, Simon Kangue.

  • Waziri Mkuu Tanzania: Ni kweli kuna changamoto za muungano

    Waziri Mkuu Tanzania: Ni kweli kuna changamoto za muungano

    Apr 11, 2018 00:13

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameelezea kuwepo changamoto katika muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

  • SAUTI, Makamu wa Rais Zanzibar: Serikati ya Tanzania imepania kuboresha sekta ya usafirishaji wa anga nchini

    SAUTI, Makamu wa Rais Zanzibar: Serikati ya Tanzania imepania kuboresha sekta ya usafirishaji wa anga nchini

    Apr 09, 2018 13:31

    Makamu wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd amesema kuwa, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea na juhudi zake za kuimarisha zaidi viwanja vyake vya ndege ili kukuza sekta ya usafiri wa nga ndani ya taifa hilo.

  • Mbunge Bungara wa Kilwa Kusini: Waziri Mkuu anaposema Tanzania kuna amani, mimi sielewi (na sauti)

    Mbunge Bungara wa Kilwa Kusini: Waziri Mkuu anaposema Tanzania kuna amani, mimi sielewi (na sauti)

    Apr 09, 2018 10:35

    Mbunge wa Kilwa Kusini, wa chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, Selemani Saidi Ally Bungara amesema kuwa, hakubaliani na kipengee kilichopo kwenye hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kinachoeleza kuwa nchi hiyo ina amani sana.

  • SAUTI, Tanzania yajifunza kwa Uganda namna ya usajili wa ardhi kidijitali, yapania kumaliza matatizo ya ardhi

    SAUTI, Tanzania yajifunza kwa Uganda namna ya usajili wa ardhi kidijitali, yapania kumaliza matatizo ya ardhi

    Apr 07, 2018 12:13

    Maafisa wa Wizara ya Ardhi nchini Tanzania wanaendelea kujifundisha namna ya usajili wa ardhi kwa njia ya kidijitali (tarakimu) kwa ajili ya kumaliza matatizo ya ardhi nchini kwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS