Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Rais John Magufuli: Polisi Tanzania hawakuajiriwa kufyeka mashamba ya bangi (sauti)

    Rais John Magufuli: Polisi Tanzania hawakuajiriwa kufyeka mashamba ya bangi (sauti)

    Apr 07, 2018 11:52

    Rais John Pombe Magufuli wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema kuwa, hakuna kitu kinachomkera kama askari polisi kwenda kufyeka mashamba ya bangi yaliyokamatwa na polisi hao akisisitiza kwamba polisi hawakuajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo.

  • Ajali mbaya ya gari, watu 12 wafariki dunia Tanzania

    Ajali mbaya ya gari, watu 12 wafariki dunia Tanzania

    Apr 05, 2018 03:45

    Kwa akali watu 12 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea  mkoani Tabora nchini Tanzania. Kwa mujibu wa ripoti, ajali hiyo imelihusisha basi la Kampuni ya City Boys lililogongana na lori aina ya Fuso katika eneo la Makomero wilaya ya Igunga mkoani Tabora na kwamba ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo.

  • Viongozi wa Chadema Tanzania waachiwa huru kwa dhamana

    Viongozi wa Chadema Tanzania waachiwa huru kwa dhamana

    Apr 03, 2018 09:36

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu nchini Tanzania imewaachia huru kwa dhamana viongozi 6 wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.

  • SAUTI, Maalim Seif: Amri ya uhamiaji Tanzania ya kuwapangia Watanzania mahala pa kusafiria kuelekea nje inashangaza

    SAUTI, Maalim Seif: Amri ya uhamiaji Tanzania ya kuwapangia Watanzania mahala pa kusafiria kuelekea nje inashangaza

    Apr 02, 2018 12:15

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Wanachi (CUF), Maalif  Seif Sharif  Hamad, ameonyesha kushangazwa na amri ya idara ya uhamiaji Tanzania Bara, kutowaruhusu Watanzania waliochukulia pasipoti upande huo (bara) kusafiria kutokea Zanzibar kuelekea nchi nyingine.

  • Polisi Tanzania:  Hatujabaini silaha iliyotumika kumuua Akwilina, Lema ashangaa

    Polisi Tanzania:  Hatujabaini silaha iliyotumika kumuua Akwilina, Lema ashangaa

    Mar 31, 2018 00:07

    Kamanda wa jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, Lazaro Mambosasa, amesema kuwa hadi sasa bado jeshi hilo linaendelea na uchunguzi kuhusu tukio la kuuawa kwa kupigwa risasi mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini.

  • Viongozi wa CHADEMA kulala mahabusu hadi Aprili 3; hakimu adai masharti ya dhamana hayajakamilika

    Viongozi wa CHADEMA kulala mahabusu hadi Aprili 3; hakimu adai masharti ya dhamana hayajakamilika

    Mar 29, 2018 11:12

    Vyombo vya habari nchini Tanzania vimeripoti kuwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru Viongozi 6 wa CHADEMA akiwemo mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, wafikishwe mahakamani hapo AprilI 3, 2018 ili kukamilisha masharti ya dhamana yao.

  • Tundu Lissu: Kinachowapata viongozi wa upinzani Tanzania, ni njia ya kuelekea Ikulu       

    Tundu Lissu: Kinachowapata viongozi wa upinzani Tanzania, ni njia ya kuelekea Ikulu      

    Mar 29, 2018 00:10

    Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema kuwa, kile kinachowapata viongozi wa chama kikuu cha upinzani cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA), ni maandalizi ya upinzani huo kuingia madarakani.

  • Viongozi wa upinzani Tanzania wakamatwa; wapandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka

    Viongozi wa upinzani Tanzania wakamatwa; wapandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka

    Mar 27, 2018 12:53

    Viongozi kadhaa wa chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini Tanzania wamepandishwa kizimbani mchana wa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka manane yakiwemo ya kufanya maandamano yaliyosababisha kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha NIT, Akwilina Akwiline, uasi, kuhamasisha chuki kati ya wanajamii na kuchochea ghasia.

  • Magufuli awajibu maaskofu, awataka wahubiri viwanda na si mambo mengine

    Magufuli awajibu maaskofu, awataka wahubiri viwanda na si mambo mengine

    Mar 26, 2018 10:41

    Rais John Magufuli wa Tanzania amejibu mapigo ya maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) akiwataka viongozi hao wahubiri kuhusu ujenzi wa viwanda vya dawa nchini humo ili Tanzania isinunue dawa nje ya nchi, badala ya kuhubiri mambo mengine.

  • Hatimaye Abdul Nondo aachiliwa huru na mahakama ya Tanzania kwa dhamana

    Hatimaye Abdul Nondo aachiliwa huru na mahakama ya Tanzania kwa dhamana

    Mar 26, 2018 04:17

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa Jumatatu ya leo, imemuachilia huru Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini Tanzania (TSNP), Abdul Nondo kwa dhamana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS