Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Ghasia zaibuka Mbeya, Tanzania baada ya polisi kutuhumiwa kusababisha mauaji ya kijana mmoja

    Ghasia zaibuka Mbeya, Tanzania baada ya polisi kutuhumiwa kusababisha mauaji ya kijana mmoja

    Mar 26, 2018 03:29

    Ghasia na machafuko yameripotiwa kutokea mkoani Mbeya, kusini magharibi mwa Tanzania baada ya polisi kutuhumiwa kuwa wamesababisha kifo cha kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Allen Mapunda, mkazi wa Kata ya Iyela.

  • Rais Magufuli, aomboleza vifo vya watu 26 katika ajali ya gari mkoani Pwani Tanzania

    Rais Magufuli, aomboleza vifo vya watu 26 katika ajali ya gari mkoani Pwani Tanzania

    Mar 25, 2018 09:59

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania, ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo na familia za wahanga wa ajali ya basi ndogo aina ya Hiace iliyosababisha vifo vya watu 26 na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Maalim Seif amuonya Profesa Lipumba amtaka aache kukivuruga chama cha CUF Tanzania

    Maalim Seif amuonya Profesa Lipumba amtaka aache kukivuruga chama cha CUF Tanzania

    Mar 24, 2018 12:15

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Wanachi (CUF), Maalif  Seif Sharif  Hamad, amemkemea mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa nchini Tanzania, Profesa Ibrahimu Haruna Lipumba na kumtaka kuacha kukivuruga chama hicho.

  • Hatimaye Abdul Nondo amefikishwa Mahakamani Iringa Tanzania

    Hatimaye Abdul Nondo amefikishwa Mahakamani Iringa Tanzania

    Mar 21, 2018 04:52

    Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo amesafirishwa usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2018 kupelekwa mkoani Iringa.

  • Profesa Lipumba: Chama cha CUF kimemdekeza sana Maalim Seif, Mazrui amjibu

    Profesa Lipumba: Chama cha CUF kimemdekeza sana Maalim Seif, Mazrui amjibu

    Mar 19, 2018 04:38

    Mwenyekiti wa chama cha CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba amesema kuwa, chama hicho kilimdekeza kwa kiasi kikubwa Katibu mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad.

  • Ulimwengu wa Soka, Machi 19

    Ulimwengu wa Soka, Machi 19

    Mar 19, 2018 02:46

    Hujambo mpenzi msikilizaji wa RT na karibu tuangazie matukio muhimu yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.....

  • ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini  nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali

    Mar 18, 2018 13:21

    Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani

  • SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi

    SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi

    Mar 15, 2018 13:06

    Raia wa Tanzania wameendelea kupewa indhari na serikali ya nchi hiyo ya kutojihusisha na maandamano yanayopangwa kufanyika mwezi April mwaka huu.

  • Mtandao wa wanafunzi Tanzania: Hatuamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu Nondo

    Mtandao wa wanafunzi Tanzania: Hatuamini uchunguzi uliofanywa na polisi kuhusu Nondo

    Mar 14, 2018 04:49

    Mtandao wa wanafunzi nchini Tanzania (TSNP) umetoa taarifa ukisema kuwa, habari walizo nazo kuhusu kile kilichomsibu mwanafunzi mwenzao, Abdul Nondo, zinakinzana na zile zilizotolewa jana na jeshi la polisi nchini humo hasa baada ya kufanya uchunguzi.

  • Kuimarika uhusiano wa Tanzania na Rwanda katika sekta ya uchukuzi

    Kuimarika uhusiano wa Tanzania na Rwanda katika sekta ya uchukuzi

    Mar 11, 2018 13:46

    Hatua hii imefuatia zoezi la kufunguliwa kwa tawi la bandari ya Dar es salaam mjini Kigali Rwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS