ACT Wazalendo: Maeneo ya vijijini nchini Tanzania yametelekezwa na serikali
Mar 18, 2018 13:21 UTC
Aidha chama hicho kimeitaka serikali kuruhusu wananchi wafanye maandamano ya amani
Ikiwa serikali ya Tanzania inajiandaa kuingia katika kipindi kipya cha bajeti ya mwaka wa fedha 2018-2019 mwezi Juni mwaka huu, rai imetolewa ya kuitaka bajeti ijayo iende sawa katika mgawanyo wa kimatumizi na maeneo ya vijijini ambako kuna mahitaji makubwa zaidi kuliko mijini. Kiongozi wa chama cha ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe amesema hayo kufuatia ziara yake aliyoifanya maeneo ya vijijini nchini Tanzania kubaini hali mbaya ya umasikini na uduni wa miondombinu, jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya taifa.
Taarifa zaidi na OMAR MANJI kutoka Dar es Salaam.....
Tags