Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • SAUTI, Ziara ya Edward Lowassa, kada wa chama cha upinzani Tanzania CHADEMA katika ikulu ya rais

    SAUTI, Ziara ya Edward Lowassa, kada wa chama cha upinzani Tanzania CHADEMA katika ikulu ya rais

    Jan 11, 2018 08:32

    Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka 2015 nchini Tanzania, Edward Lowassa leo amekutana na Rais John Magufuli wa nchi hiyo na kumpongeza kwa kazi nzuri iliyofanywa na serikali yake tangu aliposhika madaraka.

  • Lowassa ampongeza Rais Magufuli wa Tanzania, asema amefanya kazi nzuri

    Lowassa ampongeza Rais Magufuli wa Tanzania, asema amefanya kazi nzuri

    Jan 09, 2018 12:20

    Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka 2015 nchini Tanzania, Edward Lowassa leo amekutana na Rais John Magufuli wa nchi hiyo na kumpongeza kwa kazi nzuri iliyofanywa na serikali yake tangu aliposhika madaraka.

  • Uozo bandarini Tanzania wamfanya Rais Magufuli afanye mabadiliko mapya ya uongozi

    Uozo bandarini Tanzania wamfanya Rais Magufuli afanye mabadiliko mapya ya uongozi

    Jan 08, 2018 12:50

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametengua uteuzi wa Kamishna wa Madini Mhandisi Benjamin Mchwampaka na kumteua Profesa Shukrani Manya, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kuwa Kamishna wa Madini nchini humo.

  • UN kuchunguza mauaji ya askari 15 wa Tanzania nchini Kongo DR

    UN kuchunguza mauaji ya askari 15 wa Tanzania nchini Kongo DR

    Jan 06, 2018 03:50

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema taasisi hiyo ya kimataifa itachunguza mauaji ya wanajeshi 15 wa kulinda amani raia wa Tanzania waliouawa mapema mwezi uliopita katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Tundu Lissu amshangaa Rais Magufuli kutozungumza chochote kuhusu waliomshambulia

    Tundu Lissu amshangaa Rais Magufuli kutozungumza chochote kuhusu waliomshambulia

    Jan 05, 2018 14:52

    Mwanasheria Mkuu wa chama cha CHADEMA cha nchini Tanzania amesema kuwa anaamini serikali ya Tanzania ilikuwa inajua vyema kuhusu shambulio dhidi yake. Amesema hayo leo Ijumaa mbele ya waandishi wa habari nchini Kenya akiwa katika maandalizi ya kurejea Tanzania kesho Jumamosi. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti hii ya mwandishi wa Radio Tehran.

  • Wanasheria nchini Tanzania kuipandisha kizimbani serikali kwa kupiga marufuku maandamano

    Wanasheria nchini Tanzania kuipandisha kizimbani serikali kwa kupiga marufuku maandamano

    Jan 04, 2018 04:19

    Jukwaa la Katiba nchini Tanzania (Jukata) linaloundwa na wanasheria limesema kuwa, litafungua kesi kuishitaki serikali wakati wowote kuanzia sasa kutokana na hatua yake ya kupiga marufuku maandamano ndani ya taifa hilo.

  • SAUTI, Mpango: Uchumi wa Tanzania unazidi kuimarika zaidi ukilinganishwa na nchi wanachama wa EAC

    SAUTI, Mpango: Uchumi wa Tanzania unazidi kuimarika zaidi ukilinganishwa na nchi wanachama wa EAC

    Dec 29, 2017 13:36

    Tanzania ndio nchi ambayo imeonekana kuwa na kiwango kikubwa cha ukuaji uchumi katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambapo kwa mwaka huu uchumi wake umekuwa kwa asilimia 6.8 ikilinganishwa na mwaka jana wakati kama huu.

  • Upinzani Tanzania: Kamatakamata dhidi ya wapinzani inatufanya tushindwe kuanika sera zetu

    Upinzani Tanzania: Kamatakamata dhidi ya wapinzani inatufanya tushindwe kuanika sera zetu

    Dec 29, 2017 12:27

    Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Freeman Mbowe amesema kuwa, kamatakamata dhidi ya viongozi wa upinzani sambamba na kufunguliwa kesi za uchochezi, ni miongoni mwa vikwazo vinavyozuia vyama vinavyounda muungano wa upinzani wa UKAWA kutoweka hadharani mikakati yake ya kufanya siasa mwaka ujao.

  • UN yaimarisha usalama kambi walikouawa walinda amani wa Tanzania huko DRC

    UN yaimarisha usalama kambi walikouawa walinda amani wa Tanzania huko DRC

    Dec 22, 2017 03:49

    Umoja wa Mataifa umesema kambi ya Semuliki ya Kivu Kaskazini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambayo ilishambuliwa na waasi tarehe 7 mwezi huu na kusababisha vifo vya walinda amani 14 wa Tanzania na wengine 44 kujeruhiwa sasa inaimarishwa.

  • RIPOTI: Tanzania yaitaka UN ichunguze mauaji ya askari wake huko DRC (SAUTI)

    RIPOTI: Tanzania yaitaka UN ichunguze mauaji ya askari wake huko DRC (SAUTI)

    Dec 14, 2017 12:56

    Miili ya wanajeshi 14 wa JWTZ waliouawa Kongo DR yaagwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS