Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Jeshi la SEPAH la Iran lasambaratisha makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran

    Jeshi la SEPAH la Iran lasambaratisha makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran

    May 29, 2018 08:02

    Kamanda wa Kikosi cha Muhammad Rasulullah cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH, ametangaza kusambaratishwa makundi mawili ya kigaidi mjini Tehran.

  • Mkutano wa Tehran: Taifa la Palestine liundwe mji mkuu wake ukiwa ni Quds (Jerusalem)

    Mkutano wa Tehran: Taifa la Palestine liundwe mji mkuu wake ukiwa ni Quds (Jerusalem)

    May 15, 2018 02:42

    Mkutano wa dharura wa Kamati ya Palestina ya Jumuiya ya Mabunge ya Nchi za Kiislamu umemalizika Tehran Jumatatu kwa kutoa taarifa iliyosisitiza kuhusu kuundwa nchi huru ya Palestina mji wake mkuu ukiwa ni Quds (Jerusalem) sambamba na wakimbizi wote wa Palestina kupewa haki ya kurejea katika ardhi zao za jadi.

  • Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza mjini Tehran

    Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani yaanza mjini Tehran

    Apr 19, 2018 15:12

    Mashindano ya Kimataifa ya 35 ya Qur'ani Tukufu yameanza leo mjini Tehran yakiwashirikisha wawakilishi wa nchi 84 kutoka maeneo yote ya dunia.

  • Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Sisitizo la Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco la kupatiwa ufumbuzi kwa njia ya amani matatizo ya Ulimwengu wa Kiislamu

    Jan 17, 2018 14:53

    Wawakilishi wa nchi za Kiafrika za Sudan, Kodivaa, Gambia na Morocco wamesisitiza katika Mkutano wa 13 wa Mabunge ya Nchi za Kiislamu Wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kupatiwa ufumbuzi matatizo yanayoukabili Ulimwengu wa Kiislamu na kukabiliana pia na utawala ghasibu za Kizayuni.

  • Kikao cha 13 cha Mabunge ya Nchi za Kiislamu kuanza Jumamosi jijini Tehran

    Kikao cha 13 cha Mabunge ya Nchi za Kiislamu kuanza Jumamosi jijini Tehran

    Jan 12, 2018 13:57

    Kikao cha 13 cha Mabunge ya Nchi za Kiislamu wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu (OIC) kitaanza shughuli zake kesho hapa Tehran kwa kufanyika vikao vya kitaalamu na pia vya kamati za utekelezaji.

  • Washiriki wa Mkutano wa Usalama Tehran: Uingiliaji wa madola ya kigeni, chanzo cha ukosefu wa amani

    Washiriki wa Mkutano wa Usalama Tehran: Uingiliaji wa madola ya kigeni, chanzo cha ukosefu wa amani

    Jan 09, 2018 04:40

    Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Usalama Tehran umemalizika kwa washiriki kusisitiza kuwa, uingiliaji wa madola makubwa ya kigeni yaliyo nje ya eneo la Asia Magharibi ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili.

  • Zarif: Uchochezi wa kikaumu nchini Syria na Iraq ni hatari kwa eneo na dunia nzima

    Zarif: Uchochezi wa kikaumu nchini Syria na Iraq ni hatari kwa eneo na dunia nzima

    Jan 08, 2018 16:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ni jambo la dharura kulindwa umoja na mshikamano wa kitaifa na ardhi nzima za eneo hili na kusisitiza kuwa, chokochoko na uchochezi wa kikaumu na kikabila pamoja na fikra za kujitenga katika nchi za Iraq na Syria ni hatari kwa eneo hili na dunia nzima.

  • Kuanza Mkutano wa Pili wa Usalama wa Tehran kwa kuhudhuriwa na viongozi kutoka nchi 49 duniani

    Kuanza Mkutano wa Pili wa Usalama wa Tehran kwa kuhudhuriwa na viongozi kutoka nchi 49 duniani

    Jan 08, 2018 08:11

    Mji mkuu wa Iran, Tehran leo Jumatatu utakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Usalama katika eneo la Magharibi mwa Asia unaojulikana kama "Mkutano wa Usalama wa Tehran" kufuatia changamoto mbalimbali zinazolikabili eneo hili la kistratejia.

  • Tehran mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu

    Tehran mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu

    Dec 05, 2017 08:08

    Duru ya 31 ya Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu imeng'oa nanga hii leo hapa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.

  • Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti AS umeanza leo hapa mjini Tehran + SAUTI

    Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti AS umeanza leo hapa mjini Tehran + SAUTI

    Nov 22, 2017 12:12

    Mkutano wa Kimataifa wa Wapenzi wa Ahlul-Baiti (as) umeanza leo hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia, wanazuoni na wanafikra 500 kutoka katika ulimwengu wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS