Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Apr 14, 2021 02:35

    Mahakama ya Juu ya India imetengua sheria inayowapiga marufuku raia wa nchi hiyo kubadili dini kutoka kwenye imanii ya Kihindu na kuingia kwenye Uislamu au ukristo. Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo imesema kuwa, sheria hiyo inapingana na katiba ya nchi.

  • Kuendelea sera za ubaguzi wa rangi barani Ulaya na malalamiko ya wananchi

    Kuendelea sera za ubaguzi wa rangi barani Ulaya na malalamiko ya wananchi

    Apr 05, 2021 02:31

    Suala la Ubaguzi wa rangi limegeuka na kuwa tatizo kubwa kabisa kwa raia wa mataifa ya Ulaya.

  • Guterres: Nchi tajiri ziache ubaguzi na ukiritimba katika ugavi wa chanjo ya corona

    Guterres: Nchi tajiri ziache ubaguzi na ukiritimba katika ugavi wa chanjo ya corona

    Mar 29, 2021 11:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya virusi vya corona duniani na kuzitaka nchi tajiri ambazo zinajilimbikizia kiwango kikubwa sana cha chanjo ya corona kutoa baadhi ya chanjo hiyo kwa nchi nyingine za dunia.

  • Ubaguzi wa rangi katika familia ya kifalme ya Uingereza

    Ubaguzi wa rangi katika familia ya kifalme ya Uingereza

    Mar 10, 2021 12:02

    Licha ya madai ya nchi za Magharibi kuwa zinazingatia usawa wa watu katika jamii na kuheshimu haki za binadamu, lakini ukweli wa mambo ni kuwa nchi hizo zinatekeleza siasa za ubaguzi dhidi ya raia wao katika nyanja mbali mbali za kijamii na kiutamaduni.

  • UN: Fikra ya kujiona bora watu weupe na ya Kinazi ni tishio la kimuundo duniani

    UN: Fikra ya kujiona bora watu weupe na ya Kinazi ni tishio la kimuundo duniani

    Feb 22, 2021 14:02

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kuongezwa juhudi za kupiga vita fikra za Kinazi, za kujiona bora Wazungu na watu weupe pamoja na ugaidi wa kizazi na kikaumu.

  • Biden akiri, ubaguzi wa rangi unaendelea kuitafuna jamii ya Marekani

    Biden akiri, ubaguzi wa rangi unaendelea kuitafuna jamii ya Marekani

    Feb 19, 2021 08:08

    Ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimbari na ukatili dhidi ya watu weusi daima vimekuwa miongoni mwa sifa kuu za jamii ya Marekani tangu nchi hiyo ilipoasisiwa, na hadi sasa Wamarekani weusi wangali wanasumbuliwa na aina mbalimbali za ubaguzi na ukatili.

  • Sri Lanka yatakiwa kuacha kuchoma maiti za Waislamu

    Sri Lanka yatakiwa kuacha kuchoma maiti za Waislamu

    Jan 10, 2021 04:21

    Jumuiya 16 zisizo za kiserikali nchini Australia zimetoa wito wa kushinikizwa serikali ya Sri Lanka ili isitishe kuchoma moto maiti za Waislamu wanaoaga dunia kutokana na virusi vya corona nchini Sri Lanka.

  • Takwa la harakati ya Black Lives Matter kwa Joe Biden

    Takwa la harakati ya Black Lives Matter kwa Joe Biden

    Nov 10, 2020 08:02

    Ukatili mkubwa na ubaguzi wa rangi wa kimfumo dhidi ya watu weusi daima vimekuwa miongoni mwa sifa kuu za jamii ya Mareikani tangu nchi hiyo ilipoasisiwa. Wamarekani weusi wamekuwa wakikumbana na sulubu na mashaka mengi ya aina mbalimbali za ubaguzi na ukatili licha ya miaka mingi ya mapambano ya kupigania haki zao.

  • Erdogan: Dunia ipige vita uadui dhidi ya Uislamu sawa ilivyo katika suala la kupiga vita Uyahudi

    Erdogan: Dunia ipige vita uadui dhidi ya Uislamu sawa ilivyo katika suala la kupiga vita Uyahudi

    Nov 03, 2020 02:45

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ameitaka dunia ijifunze na kupata somo na ibra kutokana na uzembe wa jamii ya kimataifa iliyoacha kuzuia mauaji ya kimbari ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina na kusisitiza kuwa, dunia inapaswa kupiga marufuku na kupambana na chuki na uhasama dhidi ya Uislamu kama ilivyopambana na chuki dhidi ya Uyahudi baada ya Holocaust (yanayodaiwa kuwa mauaji ya Mayahudi wakati wa Vita vya Pili vya Dunia).

  • Washington Post: Kuwakandamiza wapigakura weusi kunairejesha Marekani karne ya 19

    Washington Post: Kuwakandamiza wapigakura weusi kunairejesha Marekani karne ya 19

    Oct 19, 2020 15:40

    Gazeti la Washington Post la Marekani limechapisha makala inayokituhumu chama tawala cha Republican kinachoongozwa na Donald Trump kuwa kinawakandamiza wapigakura weusi na kwamba kina malengo sawa na yale ya makundi ya wabaguzi wa rangi yanayoamini kuwa watu weupe ndio kizazi bora zaidi kuliko watu wa rangi nyingine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS