Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Rais wa Ufaransa: Inapasa tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Iran

    Rais wa Ufaransa: Inapasa tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Iran

    Nov 08, 2022 03:59

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amedai kuwa vitisho vya Iran vimevuka mipaka ya Asia Magharibi, na kueleza kwamba mbinu za kukabiliana na vitisho vya Tehran duniani inapasa zibadilishwe.

  • Waziri wa Ufaransa akiri kuadimika dizeli na petroli mjini Paris

    Waziri wa Ufaransa akiri kuadimika dizeli na petroli mjini Paris

    Oct 19, 2022 21:14

    Waziri wa Usafirishaji wa Nishati wa Ufaransa ametangaza kuadimika mafuta ya dizeli ya petroli katika vituo vya mafuta vya mji mkuu wa nchi hiyo, Paris.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa nchini Algeria

    Safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa nchini Algeria

    Oct 11, 2022 07:46

    Jumapili ya juzi tarehe 9 Oktoba, Waziri Mkuu wa Ufaransa aliwasili katika mji mkuu wa Algeria Algiers akiuongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yake kwa ajili ya safari rasmi ya siku tatu katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Maelfu waandamana Paris wakitaka Ufaransa iondoke NATO

    Maelfu waandamana Paris wakitaka Ufaransa iondoke NATO

    Oct 09, 2022 23:16

    Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, wakishinikiza nchi hiyo ijiondoe katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).

  • Nchi za Ulaya zitakabiliwa na hali ngumu katika msimu wa baridi kali

    Nchi za Ulaya zitakabiliwa na hali ngumu katika msimu wa baridi kali

    Oct 08, 2022 04:14

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema Ulaya itakabiliwa na matatizo mengi katika kujidhaminia gesi wakati wa msimu wa baridi wa mwaka huu.

  • Licha ya kufungwa misikiti 24 nchini Ufaransa, Marine Le Pen ataka misikiti zaidi ifungwe

    Licha ya kufungwa misikiti 24 nchini Ufaransa, Marine Le Pen ataka misikiti zaidi ifungwe

    Oct 05, 2022 03:39

    Mwanasiasa mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa Ufaransa, Marine Le Pen amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Gérald Darmanin, kufunga misikiti zaidi ya Waislamu akisema kuwa kufungwa misikiti 24 katika kipindi cha miaka miwili iliyopita haitoshi.

  • Kampeni za mabinti wa Kiislamu Ufaransa za kupigania vazi la hijabu mashuleni

    Kampeni za mabinti wa Kiislamu Ufaransa za kupigania vazi la hijabu mashuleni

    Oct 04, 2022 22:42

    Licha ya kuweko aina kwa aina ya sheria na mibinyo ya kuzuia vazi la hijabu kwa mabinti na wanawake wa Kiislamu nchini Ufaransa, lakini wasichana wanaovaa hijabu katika nchi hiyo ya bara Ulaya wanatafuta njia za kutatuliwa tatizo hilo wakitumia mbinu nas mikakati mbalimbali.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Oct 04, 2022 22:37

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Elizabeth Bourne amesema: Russia ilikuwa na itaendelea kuwa dola kuu lenye nguvu, na wala haitaweza kupuuzwa hata baada ya vita vya Ukraine.

  • Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso washambuliwa, Paris inatuhumiwa kumficha Kanali Damiba

    Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso washambuliwa, Paris inatuhumiwa kumficha Kanali Damiba

    Oct 02, 2022 08:34

    Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso umeshambuliwa baada ya Paris kushutumiwa kwamba imempa hifadhi kamanda wa jeshi la Burkina Faso, Luteni Kanali Paul-Henri Damiba aliyeng'olewa madarakani.

  • Mali yaituhumu Ufaransa kwamba, imeisaliti baada ya kuondoa majeshi yake

    Mali yaituhumu Ufaransa kwamba, imeisaliti baada ya kuondoa majeshi yake

    Sep 25, 2022 06:32

    Kanali Abdoulaye Maiga, Waziri Mkuu wa Muda wa Mali ameituhumu Ufaransa kwamba, imelitelekeza taifa hilo la magharibi mwa Afrika na kwamba, nchi yake imesalitiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS