Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Algeria na Ufaransa zakubaliana kuanzisha ushirikiano mpya

    Algeria na Ufaransa zakubaliana kuanzisha ushirikiano mpya

    Aug 28, 2022 02:36

    Algeria na Ufaransa zimesaini tamko la pamoja la "ushirikiano mpya" mwishoni mwa ziara ya siku tatu ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini Algeria.

  • Mgogoro wa nishati Ufaransa wamlazimisha Macron kuzuru koloni la zamani

    Mgogoro wa nishati Ufaransa wamlazimisha Macron kuzuru koloni la zamani

    Aug 26, 2022 02:35

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewasili Algeria, koloni la kitambo la nchi hiyo ya Ulaya katika safari inayolenga kuitaka nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iongeze kiwango cha gesi inayouza barani Ulaya.

  • Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Aug 18, 2022 23:35

    Bunge la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetadharisha kuhusu harakati na nyendo za kutiliwa shaka za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

    Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

    Aug 18, 2022 02:59

    Mali imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufanya mkutano wa dharura ili kusitisha kile inachokitaja kuwa ni "vitendo vya uchokozi" vinavyofanywa na Ufaransa kwa kukiuka mamlaka yake, kuunga mkono makundi ya magaidi wakufurishaji na ujasusi.

  • Ukomo wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Ukomo wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Aug 16, 2022 07:43

    Sambamba na kuendelea mvutano kati ya Ufaransa na Mali, hatimaye Paris imetangaza ukomo wa uwepo wa wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Wanajeshi wa mwisho wa Ufaransa waondoka Mali

    Wanajeshi wa mwisho wa Ufaransa waondoka Mali

    Aug 16, 2022 03:13

    Mabaki ya wanajeshi wa Ufaransa waliondoka nchini Mali jana Jumatatu, kuashiria mwisho wa Operesheni ya Barkhane katika nchi hiyo ya eneo la Sahel barani Afrika.

  • Umoja wa Mataifa walaani Ufaransa kwa kupiga marufuku hijabu ya wanawake wa Kiislamu

    Umoja wa Mataifa walaani Ufaransa kwa kupiga marufuku hijabu ya wanawake wa Kiislamu

    Aug 05, 2022 23:20

    Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa karibuni na Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa Ufaransa imekiuka Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa kwa kumzuia mwanamke mmoja aliyekuwa amevalia hijabu kushiriki kwenye kozi ya elimu ya watu wazima iliyofanyika katika shule moja ya upili nchini humo.

  • Safari ya Mohammed bin Salman nchini Ufaransa; haki za binadamu zilizosahaulika

    Safari ya Mohammed bin Salman nchini Ufaransa; haki za binadamu zilizosahaulika

    Jul 31, 2022 00:34

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman aliwasili mjini Paris siku ya Alhamisi Julai 28, na kukaribishwa vizuri na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa.

  • Macron akosolewa kwa 'kumtandikia zulia jekundu muuaji wa Khashoggi'

    Macron akosolewa kwa 'kumtandikia zulia jekundu muuaji wa Khashoggi'

    Jul 29, 2022 23:16

    Wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wamemkosoa vikali Rais Emmanuel Macron wa Ufarasa kwa kumpokea Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ambaye anatuhumiwa kutoa amri ya kuuawa mwanahabari Jamal Khashoggi, huko nchini Uturuki miaka 4 iliyopita.

  • Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Jul 23, 2022 22:57

    Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS