Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    May 28, 2021 02:42

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

  • Jumatano tarehe 26 Mei 2021

    Jumatano tarehe 26 Mei 2021

    May 25, 2021 22:46

    Leo ni Jumatano tarehe 14 Shawwal 1442 Hijria sawa na 26 Mei mwaka 2021.

  • Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina

    Ufaransa yakiri kuhusu utambulisho wa kigaidi wa utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina

    May 25, 2021 06:03

    Jumapili iliyopita Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa aliashiria hujuma ya kinyama iliyofanywa karibuni na utawala haramu wa Israel katika miji kadhaa ya Waarabu katika ardhi unazozikalia kwa mabavu na kutahadharisha dhidi ya ubaguzi wa rangi unaotekelezwa na utawala huo dhidi ya Wapalestina.

  • Waziri wa Mambo Nje wa Ufaransa atahadharisha kuhusu sera za Apartheid za Israel dhidi ya Wapalestina

    Waziri wa Mambo Nje wa Ufaransa atahadharisha kuhusu sera za Apartheid za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 24, 2021 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu kuendelea kwa muda mrefu ubaguzi wa Apartheid wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Upinzani wa Ujerumani na Ufaransa wa kufanyika maandamano dhidi ya Israel; nembo ya uungaji mkono wa Magharibi kwa jinai za Wazayuni

    Upinzani wa Ujerumani na Ufaransa wa kufanyika maandamano dhidi ya Israel; nembo ya uungaji mkono wa Magharibi kwa jinai za Wazayuni

    May 15, 2021 05:26

    Baada ya kuwaka moto wa vita na mapigano baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina katika siku za hivi karibuni, madola ya Magharibi yamefumbia macho kabisa jinai za Tel-Aviv hususan hujuma na mashambulio ya anga na kulishambulia kwa mabomu eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Makundi ya kutetea haki za binadamu yapinga uamuzi wa Ufarasa wa kupiga marufuku maandamano dhidi ya Israel

    Makundi ya kutetea haki za binadamu yapinga uamuzi wa Ufarasa wa kupiga marufuku maandamano dhidi ya Israel

    May 14, 2021 08:07

    Wanaharakati na makundi ya kutetea haki za binadamu yamepinga uamuzi wa Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa wa kupiga marufuku maandamano ya kupinga ukatili na mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya watu wa Palestina ambayo yamepangwa kufanyika mwishoni mwa wiki hii.

  • Kuendelea kunyanyaswa na kupigwa vita Waislamu nchini Ufaransa

    Kuendelea kunyanyaswa na kupigwa vita Waislamu nchini Ufaransa

    May 14, 2021 05:10

    Viongozi wa Ufaransa wanaendelea kuchukua hatua za kuipiga vita waziwazi dini tukufu ya Kiislamu. Hatua ya karibuni kabisa ni ya kupigwa marufuku Muislamu wa kike asijiandikishe kugombea katika uchaguzi kutokana na Hijab yake.

  • Jeshi la Ufaransa lawataka wanajeshi walioandika barua ya kutokea mapinduzi wajiuzulu

    Jeshi la Ufaransa lawataka wanajeshi walioandika barua ya kutokea mapinduzi wajiuzulu

    May 12, 2021 06:38

    Mkuu wa Majeshi ya Ufaransa amewataka wanajeshi waliosaini barua inayotahadharisha kuhusu hatari ya kutokea vita vya ndani nchini humo wajiuzulu kutoka kwenye jeshi la nchi hiyo.

  • Mzozo mkubwa baina ya Uingereza na Ufaransa, matunda ya awali ya kiusalama ya Brexit

    Mzozo mkubwa baina ya Uingereza na Ufaransa, matunda ya awali ya kiusalama ya Brexit

    May 08, 2021 21:41

    Baada ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit, sasa hivi matunda na matokeo mabaya ya kujitoa huko yameanza kuonekana katika nyuga mbalimbali.

  • Zarif akosoa siasa za kindumakuwli na kibaguzi za Ufaransa

    Zarif akosoa siasa za kindumakuwli na kibaguzi za Ufaransa

    Apr 29, 2021 05:24

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amezungumzia majaribio ya makombora yaliyofanywa na Ufaransa na juhudi za Paris na baadhi ya nchi za Magharibi za kutaka kubana miradi ya kutengeneza makombora ya Iran na kuandika kuwa; Inaonekana kuwa, siasa za kibaguzi na kindumakuwili ni jambo linalowezekana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS