Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Viongozi wa Ufaransa waendelea kutoa madai ya chuki dhidi ya Uislamu

    Viongozi wa Ufaransa waendelea kutoa madai ya chuki dhidi ya Uislamu

    Nov 26, 2020 23:00

    Huku hasira za Waislamu kwa vitendo na matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa zikawa bado hazijapoa, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo ya bara Ulaya Jean-Yves Le Drian amejitokeza na kudai kwamba, baadhi ya mataifa yanataka kuwadhibiti Waislamu wa Ufaransa.

  • Ufaransa yashiriki kwa kiwango kikubwa kuangamiza raia nchini Yemen

    Ufaransa yashiriki kwa kiwango kikubwa kuangamiza raia nchini Yemen

    Nov 23, 2020 22:53

    Vyombo vya habari vya Ufaransa vimefichua kuwa, serikali ya nchi hiyo inashiriki vilivyo katika kutoa mafunzo kwa wanajeshi wa Saudi Arabia na kuwaua kwa umati wananchi wa Yemen.

  • Kuendelea chuki za rais wa Ufaransa dhidi ya Uislamu

    Kuendelea chuki za rais wa Ufaransa dhidi ya Uislamu

    Nov 22, 2020 21:34

    Ikiwa ni kuendeleza chuki zake dhidi ya Uislamu na Waislamu, rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, sasa ametoa muhula maalumu kwa viongozi wa makundi ya Kiislamu ya nchi hiyo kuhakikisha wanajivika utamaduni wa Magharibi hata katika mambo ambayo ni haramu kwa mujibu wa mafundisho ya dini tukufu ya Kiislamu.

  • Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe

    Wapakistan: Hatutositisha maandamano mpaka balozi wa Ufaransa atimuliwe

    Nov 16, 2020 03:41

    Maelfu ya waandamanaji nchini Pakistan waliofanya mgomo wa kuketi wametangaza kuwa wataendeleza mgomo wao huo mpaka balozi wa Ufaransa nchini humo atimuliwe.

  • Kukosolewa vikali madai ya kuwepo uhuru wa kujieleza nchini Ufaransa

    Kukosolewa vikali madai ya kuwepo uhuru wa kujieleza nchini Ufaransa

    Nov 15, 2020 23:03

    Mwenendo wa chuki na kukejeliwa itikadi za Waislamu nchini Ufaransa umeshika kasi katika miaka ya karibuni, na katika uwanja huo kuchapishwa tena na jarida la Charlie Hebdo, vikatuni vinamvyodhalilisha Mtume Mtukufu wa Uislamu (saw) kumewakasirisha sana Waislamu.

  • Amnesty: Kwa undumakuwili ilionao, Ufaransa haiwezi kudai inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni

    Amnesty: Kwa undumakuwili ilionao, Ufaransa haiwezi kudai inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni

    Nov 15, 2020 00:32

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limekosoa mtazamo wa kiundumakuwili wa serikali ya Ufaransa na kusisitiza kuwa, serikali hiyo haiwezi kudai kwamba inaunga mkono uhuru wa kutoa maoni.

  • Kiongozi wa ngazi za juu wa al-Qaeda auawa kaskazini mwa Mali

    Kiongozi wa ngazi za juu wa al-Qaeda auawa kaskazini mwa Mali

    Nov 14, 2020 04:06

    Kiongozi wa operesheni za kijeshi wa tawi la kundi la al-Qaida kanda ya Afrika Kaskazini ameuawa katika operesheni ya jeshi la Ufaransa nchini Mali.

  • Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu

    Kansela wa Ujerumani akwepa kulaani vitendo vya kuvunjia heshima matukufu ya Uislamu

    Nov 11, 2020 11:13

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani amekwepa kulaani hatua na vitendo vya kuvunjia heshima thamani na matukufu ya Uislamu.

  • Juhudi za Ufaransa za kujaribu kupunguza hasira ya Waislamu duniani

    Juhudi za Ufaransa za kujaribu kupunguza hasira ya Waislamu duniani

    Nov 09, 2020 23:09

    Uadui wa viongozi wa Ufaransa dhidi ya Uislamu, umeamsha hasira ya Waislamu katika pembe zote za dunia kadiri kwamba nchi nyingi za Kiislamu zimelaani msimamo huo wa Wafaransa, bali zimeanzisha harakati za kususia bidhaa zinazotengenezwa Ufaransa ili kuonyesha kuchukizwa kwao na uadui huo wa viongozi wa Paris.

  • Vijana Waislamu wa Ufaransa wajitolea kulinda makanisa ya nchi hiyo

    Vijana Waislamu wa Ufaransa wajitolea kulinda makanisa ya nchi hiyo

    Nov 07, 2020 23:07

    Licha ya hatua na matamshi ya kiuadui na ya chuki yaliyotolewa na viongozi wa Ufaransa dhidi ya Uislamu, kundi moja la vijana Waislamu Wafaransa wamejitolea kulinda usalama wa makanisa ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS