-
Mtaalamu wa Ufaransa alipua bomu, adai virusi vya corona vilitokana na jaribio la kutengeneza chanjo ya Ukimwi
Apr 18, 2020 22:07Mtazamo wa Profesa Luc Antoine Montagnier wa Ufaransa ambaye ni mmoja kati ya wavumbuzi wa virusi vya Ukimwi anayesema virusi vya corona vimetokana na makosa yaliyotokea kwenye maabara, umezusha mjadala mkubwa katika duru za wanasayansi.
-
Kampuni ya Total ya Ufaransa inatuhumiwa kueneza virusi vya Corona nchini Msumbiji
Apr 17, 2020 20:12Maafisa Afya wa Msumbiji wamesema kuwa kampuni ya mafuta ya Total ya Ufaransa imehusika kueneza maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.
-
Uwezekano wa kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya kwa miezi mingine sita
Apr 13, 2020 05:27Rais wa Ufaransa ametahadharisha kuwa huenda mipaka ya nchi wanachama wa eneo la Schengen ikafungwa kwa miezi mingine sita ijayo.
-
Waziri wa Afya wa Ufaransa atahadharisha kuhusu kufikia kileleni mlipuko wa Corona
Apr 07, 2020 19:04Waziri wa Afya wa Ufaransa ametahadharisha kuwa nchi hiyo inakaribia kushuhudia kilele za mlipuko wa virusi vya corona.
-
Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU
Apr 01, 2020 05:11Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.
-
Macron akiri kuwepo uhaba wa suhula za kitiba nchini Ufaransa
Mar 31, 2020 22:28Rais wa Ufaransa amesema kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo la kudhamini vifaa vya tiva vya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona.
-
Ufaransa na nchi nyingine 12 zakubaliana kuanzisha Takuba kukabiliana na ugaidi
Mar 29, 2020 05:09Ufaransa na nchi nyingine 12 zimekubaliana kuanzisha kikosi kipya kitakachopewa jina la Takuba kwa shabaha ya kukabiliana na makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani Afika.
-
Mienendo ya kibaguzi dhidi ya Wachina yashuhudiwa Ufaransa kwa kisingizio cha Corona
Mar 09, 2020 23:10Hisia na mienendo ya kibaguzi sambamba na kuendelea kusambaa virusi vya Corona nchini Ufaransa, inaendelea kushika kasi kupitia njia tofauti.
-
Wanafunzi milioni 300 duniani wabakia majumbani baada ya shule kufungwa kutokana na virusi vya Corona
Mar 05, 2020 04:48Wanafunzi wapatao milioni 300 katika maeneo mbalimbali ya dunia wamelazimika kubakia majumbani kwa wiki kadhaa sasa kutokana na shule kufungwa kufuatia kuenea kwa virusi vya Corona.
-
Makumi ya raia wa Ufaransa wanapigana safu moja na magaidi nchini Syria
Mar 01, 2020 08:28Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vimetoa ushahidi unaooensha kuwa, kuna makumi ya raia wa Ufaransa wanaopigana bega kwa bega na magenge ya kigaidi nchini Syria.