Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mtaalamu wa Ufaransa alipua bomu, adai virusi vya corona vilitokana na jaribio la kutengeneza chanjo ya Ukimwi

    Mtaalamu wa Ufaransa alipua bomu, adai virusi vya corona vilitokana na jaribio la kutengeneza chanjo ya Ukimwi

    Apr 18, 2020 22:07

    Mtazamo wa Profesa Luc Antoine Montagnier wa Ufaransa ambaye ni mmoja kati ya wavumbuzi wa virusi vya Ukimwi anayesema virusi vya corona vimetokana na makosa yaliyotokea kwenye maabara, umezusha mjadala mkubwa katika duru za wanasayansi.

  • Kampuni ya Total ya Ufaransa inatuhumiwa kueneza virusi vya Corona nchini Msumbiji

    Kampuni ya Total ya Ufaransa inatuhumiwa kueneza virusi vya Corona nchini Msumbiji

    Apr 17, 2020 20:12

    Maafisa Afya wa Msumbiji wamesema kuwa kampuni ya mafuta ya Total ya Ufaransa imehusika kueneza maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.

  • Uwezekano wa kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya kwa miezi mingine sita

    Uwezekano wa kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya kwa miezi mingine sita

    Apr 13, 2020 05:27

    Rais wa Ufaransa ametahadharisha kuwa huenda mipaka ya nchi wanachama wa eneo la Schengen ikafungwa kwa miezi mingine sita ijayo.

  • Waziri wa Afya wa Ufaransa atahadharisha kuhusu kufikia kileleni mlipuko wa Corona

    Waziri wa Afya wa Ufaransa atahadharisha kuhusu kufikia kileleni mlipuko wa Corona

    Apr 07, 2020 19:04

    Waziri wa Afya wa Ufaransa ametahadharisha kuwa nchi hiyo inakaribia kushuhudia kilele za mlipuko wa virusi vya corona.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 05:11

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Macron akiri kuwepo uhaba wa suhula za kitiba nchini Ufaransa

    Macron akiri kuwepo uhaba wa suhula za kitiba nchini Ufaransa

    Mar 31, 2020 22:28

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa nchi hiyo inakabiliwa na tatizo la kudhamini vifaa vya tiva vya dharura kwa ajili ya kukabiliana na virusi vya corona.

  • Ufaransa na nchi nyingine 12 zakubaliana kuanzisha Takuba kukabiliana na ugaidi

    Ufaransa na nchi nyingine 12 zakubaliana kuanzisha Takuba kukabiliana na ugaidi

    Mar 29, 2020 05:09

    Ufaransa na nchi nyingine 12 zimekubaliana kuanzisha kikosi kipya kitakachopewa jina la Takuba kwa shabaha ya kukabiliana na makundi ya kigaidi katika eneo la Sahel barani Afika.

  • Mienendo ya kibaguzi dhidi ya Wachina yashuhudiwa Ufaransa kwa kisingizio cha Corona

    Mienendo ya kibaguzi dhidi ya Wachina yashuhudiwa Ufaransa kwa kisingizio cha Corona

    Mar 09, 2020 23:10

    Hisia na mienendo ya kibaguzi sambamba na kuendelea kusambaa virusi vya Corona nchini Ufaransa, inaendelea kushika kasi kupitia njia tofauti.

  • Wanafunzi milioni 300 duniani wabakia majumbani baada ya shule kufungwa kutokana na virusi vya Corona

    Wanafunzi milioni 300 duniani wabakia majumbani baada ya shule kufungwa kutokana na virusi vya Corona

    Mar 05, 2020 04:48

    Wanafunzi wapatao milioni 300 katika maeneo mbalimbali ya dunia wamelazimika kubakia majumbani kwa wiki kadhaa sasa kutokana na shule kufungwa kufuatia kuenea kwa virusi vya Corona.

  • Makumi ya raia wa Ufaransa wanapigana safu moja na magaidi nchini Syria

    Makumi ya raia wa Ufaransa wanapigana safu moja na magaidi nchini Syria

    Mar 01, 2020 08:28

    Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vimetoa ushahidi unaooensha kuwa, kuna makumi ya raia wa Ufaransa wanaopigana bega kwa bega na magenge ya kigaidi nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS