Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Macron azidisha siasa zake dhidi misikiti na maimamu wa kigeni nchini Ufaransa

    Macron azidisha siasa zake dhidi misikiti na maimamu wa kigeni nchini Ufaransa

    Feb 20, 2020 00:54

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametangaza hatua kadhaa za kuhitimisha mpango ambao ulikuwa ukiziruhusu nchi za nje kutuma nchini humo maimamu na walimu kwa ajili ya kutoa huduma za kidini bila ya kusimamiwa katika jitihada za kukabiliana na kile alichokitaja kuwa "hatari ya kujitenga."

  • Rais wa Ufaransa amjibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani akisema: Magharibi 'inadhoofika'

    Rais wa Ufaransa amjibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani akisema: Magharibi 'inadhoofika'

    Feb 15, 2020 10:54

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amejibu madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani aliyotoa katika Mkutano wa Usalama wa Munich kwa kusema: Magharibi inadhoofika na kuporomoka.

  • Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Feb 13, 2020 02:51

    Hamjambo wapenzi wasikilizake na karibuni kujiunga nami katika makala hii tuliyokutayarishieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambapo leo tutaangazia namna fikra za Imam Khomeini MA, zilivyoweza kuenea na kuwavutia wasomi wengi duniani.

  • Iran yakadhibisha madai ya Ufaransa kuhusu miradi yake ya anga za mbali

    Iran yakadhibisha madai ya Ufaransa kuhusu miradi yake ya anga za mbali

    Feb 11, 2020 23:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali madai ya uingiliaji wa mambo ya ndani ya taifa hili yaliyotolewa na Ufaransa kuhusu miradi ya anga za mbali ya Tehran.

  • Polisi wa Ufaransa waimarisha mgomo wao

    Polisi wa Ufaransa waimarisha mgomo wao

    Feb 08, 2020 04:20

    Polisi wa kitengo cha 'teknolojia na elimu' nchini Ufaransa wameimarisha mgomo wao sawa na wafanyakazi wengine wa serikali katika kupinga mabadiliko ya sheria ya ustaafu nchini humo.

  • Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Ombi la Rais wa Ufaransa la kuangamizwa silaha za nyuklia

    Feb 08, 2020 04:02

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, jana Ijumaa alitangaza uamuzi wa nchi yake wa kupunguza idadi ya silaha zake za nyuklia hadi chini ya vichwa 300 vya nyuklia.

  • Ufaransa yaendea kuingilia mambo ya ndani ya Afrika, yatuma mamia ya askari eneo la Sahel

    Ufaransa yaendea kuingilia mambo ya ndani ya Afrika, yatuma mamia ya askari eneo la Sahel

    Feb 02, 2020 10:16

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa ametangaza kuwa nchi hiyo itatuma wanajeshi wengine 600 katika eneo la Sahel barani Afrika, hatua ambayo imetajwa na wafuatiliaji wa mambo kuwa ni katika kuendeleza sera za mkoloni huyo wa zamani za kuzidisha ushawishi na satua yake barani humo.

  • Sisitizo la Ufaransa la kupinga Umoja wa Ulaya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran

    Sisitizo la Ufaransa la kupinga Umoja wa Ulaya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa ya Marekani dhidi ya Iran

    Jan 30, 2020 22:52

    Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kupinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, Mei mwaka 2018 alichukua uamuzi wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo ya kimataifa, hatua ambayo ilikwenda sambamba na kuiwekea Iran mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa.

  • Rais Macron wa Ufaransa arushiana maneneo makali na polisi wa Israel mjini Quds

    Rais Macron wa Ufaransa arushiana maneneo makali na polisi wa Israel mjini Quds

    Jan 23, 2020 08:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ambaye yuko safarini katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu amerushuiana maneno makali na polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Ukosoaji mkubwa wa kuendelea ukandamizaji dhidi ya harakati za 'Vizibao vya Njano' nchini Ufaransa

    Ukosoaji mkubwa wa kuendelea ukandamizaji dhidi ya harakati za 'Vizibao vya Njano' nchini Ufaransa

    Jan 20, 2020 09:36

    Hatua za ukandamizaji wa polisi wa Ufaransa dhidi ya waandamanaji wanaopinga mfumo wa kibepari, zimekabiliwa na ukosoaji mkali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS