Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Tehran yampa Rais wa Ufaransa somo la jiografia kuhusu

    Tehran yampa Rais wa Ufaransa somo la jiografia kuhusu "Ghuba ya Uajemi"

    Jan 19, 2020 04:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa somo la jiografia na kumkosoa kwa kupotosha historia.

  • Mamia ya magari yaliteketezwa moto nchini Ufaransa katika mkesha wa mwaka mpya

    Mamia ya magari yaliteketezwa moto nchini Ufaransa katika mkesha wa mwaka mpya

    Jan 02, 2020 10:19

    Viongozi wa serikali ya Ufaransa wametangaza kwamba mkesha wa mwaka mpya 2020 uligubikwa na machafuko makubwa ambapo mamia ya magari yaliteketezwa moto.

  • Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa

    Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa

    Dec 24, 2019 23:26

    Baada ya mashauriano yaliyodumu kwa muda mrefu, hatimaye nchi nane kati ya 15 wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimejitoa katika muungano wa sarafu ya pamoja ya Ufaransa (Franc) na kutangaza kwamba, kuanzia sasa zitaanza kufanya miamala yao yote kwa kutumia sarafu ya Eco ili zisalimike madhara ya kifedha yaliyokuwa yakisababishwa na sarafu ya Franc.

  • Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiri, ukoloni umekufa

    Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiri, ukoloni umekufa

    Dec 23, 2019 09:17

    Mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima uimekuwa ya kikoloni na kuwanyonya watu wa bara hilo na wakati huo huo kukandamiza harakati za wapigania uhuru.

  • Macron akiri ukoloni wa Ufaransa Afrika ulikuwa kosa kubwa, wapinzani wampinga

    Macron akiri ukoloni wa Ufaransa Afrika ulikuwa kosa kubwa, wapinzani wampinga

    Dec 23, 2019 04:30

    Baada ya Rais Emmanuel Macron kukiri hadharani kuwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika ulikuwa kosa kubwa, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia chenye chuki za kikabila nchini Ufaransa amelalamikia msimamo huo wa Macron na kudai eti unatia doa historia ya Ufaransa.

  • Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria

    Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria

    Dec 19, 2019 00:36

    Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yawataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na machafuko

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yawataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na machafuko

    Dec 10, 2019 21:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na ghasia na migomo inayoendelea kufanyika nchini humo.

  • Wanigeria waandamana kupinga uingiliaji wa mambo ya ndani wa Ufaransa

    Wanigeria waandamana kupinga uingiliaji wa mambo ya ndani wa Ufaransa

    Dec 10, 2019 04:29

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano nje ya ubalozi mdogo wa Ufaransa mjini Lagos, kupinga na kulalamikia hatua ya Paris ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Kuanza duru mpya ya maandamano ya upinzani nchini Ufaransa

    Kuanza duru mpya ya maandamano ya upinzani nchini Ufaransa

    Dec 08, 2019 07:45

    Uamuzi mpya wa serikali ya Ufaransa wa kuifanyia marekebisho sheria ya kustaafu, umeibua wimbi jipya la maandamano na migomo nchini humo ambavyo vilianza tangu siku ya Alkhamisi iliyopita.

  • Sharti la serikali ya Ufaransa kuzisaidia kijeshi nchi za magharibi mwa Afrika

    Sharti la serikali ya Ufaransa kuzisaidia kijeshi nchi za magharibi mwa Afrika

    Dec 05, 2019 04:31

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewataka viongozi wa magharibi mwa Afrika kupinga kuongezeka hisia dhidi ya Ufaransa katika eneo iwapo wanataka Paris iendelee na oparesheni zake dhidi ya makundi ya wanamgambo wenye silaha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS