-
Tehran yampa Rais wa Ufaransa somo la jiografia kuhusu "Ghuba ya Uajemi"
Jan 19, 2020 04:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa somo la jiografia na kumkosoa kwa kupotosha historia.
-
Mamia ya magari yaliteketezwa moto nchini Ufaransa katika mkesha wa mwaka mpya
Jan 02, 2020 10:19Viongozi wa serikali ya Ufaransa wametangaza kwamba mkesha wa mwaka mpya 2020 uligubikwa na machafuko makubwa ambapo mamia ya magari yaliteketezwa moto.
-
Uamuzi wa nchi 8 za magharibi mwa Afrika wa kuacha kutumia sarafu ya Ufaransa
Dec 24, 2019 23:26Baada ya mashauriano yaliyodumu kwa muda mrefu, hatimaye nchi nane kati ya 15 wanachama wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) zimejitoa katika muungano wa sarafu ya pamoja ya Ufaransa (Franc) na kutangaza kwamba, kuanzia sasa zitaanza kufanya miamala yao yote kwa kutumia sarafu ya Eco ili zisalimike madhara ya kifedha yaliyokuwa yakisababishwa na sarafu ya Franc.
-
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron akiri, ukoloni umekufa
Dec 23, 2019 09:17Mienendo ya nchi za Magharibi kuhusiana na bara la Afrika daima uimekuwa ya kikoloni na kuwanyonya watu wa bara hilo na wakati huo huo kukandamiza harakati za wapigania uhuru.
-
Macron akiri ukoloni wa Ufaransa Afrika ulikuwa kosa kubwa, wapinzani wampinga
Dec 23, 2019 04:30Baada ya Rais Emmanuel Macron kukiri hadharani kuwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika ulikuwa kosa kubwa, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia chenye chuki za kikabila nchini Ufaransa amelalamikia msimamo huo wa Macron na kudai eti unatia doa historia ya Ufaransa.
-
Makumi ya askari wa Ufaransa wajiunga na makundi ya kigaidi Iraq na Syria
Dec 19, 2019 00:36Kituo cha Kuchunguza Ugaidi cha Ufaransa kimetangaza kuwa wanajeshi 30 wa nchi hiyo wamejiunga na makundi ya kigaidi katika nchi za Syria na Iraq.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yawataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na machafuko
Dec 10, 2019 21:43Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewataka Wairani wasifanye safari nchini Ufaransa kutokana na ghasia na migomo inayoendelea kufanyika nchini humo.
-
Wanigeria waandamana kupinga uingiliaji wa mambo ya ndani wa Ufaransa
Dec 10, 2019 04:29Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano nje ya ubalozi mdogo wa Ufaransa mjini Lagos, kupinga na kulalamikia hatua ya Paris ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Kuanza duru mpya ya maandamano ya upinzani nchini Ufaransa
Dec 08, 2019 07:45Uamuzi mpya wa serikali ya Ufaransa wa kuifanyia marekebisho sheria ya kustaafu, umeibua wimbi jipya la maandamano na migomo nchini humo ambavyo vilianza tangu siku ya Alkhamisi iliyopita.
-
Sharti la serikali ya Ufaransa kuzisaidia kijeshi nchi za magharibi mwa Afrika
Dec 05, 2019 04:31Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewataka viongozi wa magharibi mwa Afrika kupinga kuongezeka hisia dhidi ya Ufaransa katika eneo iwapo wanataka Paris iendelee na oparesheni zake dhidi ya makundi ya wanamgambo wenye silaha.