Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Macron: EU itaendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Macron: EU itaendelea kuheshimu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA

    Oct 20, 2017 22:57

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa Ulaya inafanya kila liwezekanalo kulinda makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa kati ya kundi la 5+1 na Iran na kwamba yeye pia yuko tayari kuanza mazungumzo na Iran kuhusu miradi ya makombora na ushawishi wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Waziri wa zamani wa Ufaransa aitwa mahakamani kwa kushirikiana na magaidi Syria

    Waziri wa zamani wa Ufaransa aitwa mahakamani kwa kushirikiana na magaidi Syria

    Oct 15, 2017 23:03

    Habari kutoka nchini Ufaransa zinasema kuwa, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa nchi hiyo ya Ulaya ameitwa mahakamani kujibu tuhuma za kushirikiana na magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • Umasikini waongezeka katika jamii ya Ufaransa

    Umasikini waongezeka katika jamii ya Ufaransa

    Oct 14, 2017 23:26

    Takwimu zilizotangazwa na Asasi ya Kimataifa ya Kupambana na Umasikini nchini Ufaransa zinaonyesha kuwa, tatizo la kijamii la umasikini limeongezeka mjini katika nchi hiyo ya bara Ulaya katika kipindi cha miaka kumi ya hivi karibuni.

  • Ijumaa tarehe 13 Oktoba, 2017

    Ijumaa tarehe 13 Oktoba, 2017

    Oct 12, 2017 23:12

    Leo ni Ijumaa tarehe 22 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 13, 2017.

  • Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu mgogoro wa wakimbizi wa Kiafrika

    Oct 11, 2017 04:43

    Rais Emannuel Macron wa Ufaransa Jumamosi iliyopita aliarifu kuhusu kuasisiwa ofisi ya kuwapokea wakimbizi katika nchi mbili za Kiafrika. Alisema kuwa katika wiki zijazo kabla ya kumalizika mwezi huu wa Oktoba, ofisi hizo zitaasisiwa huko Chad na Niger kwa ajili ya kuwatambaua raia waliotimiza masharti ya kuwa wakimbizi.

  • Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika

    Mashauriano ya wawakilishi wa Afrika na Ufaransa katika "Kikao cha Afrika 2017"

    Oct 07, 2017 08:14

    Kikao cha siku mbili chini ya anuani "Afrika 2017" kimefanyika kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa pande mbili za Afrika na Ufaransa.

  • Ufaransa yashangazwa na Trump kuzuia raia wa Chad kuingia Marekani

    Ufaransa yashangazwa na Trump kuzuia raia wa Chad kuingia Marekani

    Sep 27, 2017 22:58

    Serikali ya Ufaransa imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuijumuisha Chad katika orodha ya nchi ambazo raia wake wamepigwa marufuku kuingia Marekani.

  • Alkhamisi,  21 Septemba, 2017

    Alkhamisi, 21 Septemba, 2017

    Sep 20, 2017 21:56

    Leo ni Alkhamisi tarehe 30 Dhulhija 1438 Hijria sawa na Septemba 21, 2017.

  • Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran

    Rais wa Ufaransa, Mkuu wa Sera za Kigeni EU watetea mapatano ya nyuklia ya Iran

    Sep 19, 2017 23:24

    Rais wa Ufaransa amesema nchi yake itatetea mapatano ya nyuklia baina ya Iran na madola sita duniani katika vikao vya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalokutana mjini New York.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS