-
Uchunguzi: Zaidi ya asilimia 30 ya Wafaransa wanaishi kwenye umasikini
Sep 15, 2017 03:23Uchunguzi uliofanywa nchini Ufaransa unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 30 ya raia wa nchi hiyo wanaishi kwenye umasikini.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-2
Sep 02, 2017 10:43Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya pili ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla huko katika nchi za Magharibi.
-
Jumamosi, Septemba Pili, 2017
Sep 01, 2017 22:02Leo ni Jumamosi tarehe 11 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1438 Hijria sawa na tarehe Pili Septemba mwaka 2017 Miladia.
-
Rais wa Ufaransa: Hakuna chaguo mbadala la makubaliano ya nyuklia na Iran
Aug 29, 2017 22:43Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema nchi yake inayaunga mkono kikamilifu makubaliano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA).
-
Uhajiri; ajenda kuu ya mazungumzo ya viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya mjini Paris
Aug 29, 2017 07:22Jumatatu ya jana tarehe 28 Agosti, viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya walikutana katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris kwa mwaliko wa Rais Emmanuel Macron kwa ajili ya kuchunguza njia za kukabiliana na wimbi la wahajiri kutoka nchi za Afrika wanaoelekea barani Ulaya.
-
Viongozi wa nchi saba za Afrika na Ulaya wachunguza mwenendo wa uhajiri nchini Ufaransa
Aug 28, 2017 23:54Viongozi wa nchi saba za Kiafrika na Ulaya wamekutana nchini Ufaransa kwa ajili ya kuchunguza namna ya kupunguza wimbi la uhajiri kutoka nchi za Afrika kuelekea barani Ulaya.
-
Malengo ya safari ya pamoja ya Mawaziri wa Ulinzi na Mambo ya Nje wa Ufaransa nchini Iraq
Aug 27, 2017 21:46Juzi Jumamosi tarehe 26 Agosti, Jean-Yves Le Drian na Florence Parly, Mawaziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi wa Ufaransa, waliwasili Baghdad, mji mkuu wa Iraq wakiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa nchi yao kwa ajili ya kufanya mazungumzo na viongozi wa Baghdad.
-
Ufaransa na mgogoro wa wakimbizi wa Calais
Aug 03, 2017 21:56Mamia ya wakimbizi walioko katika kambi ya Calais huko kaskazini mwa Ufaransa wanaendelea kusumbuliwa na hali mbaya kupita kiasi, na siasa na sera tofauti na zinazokinzana za viongozi wa Ufaransa zimezidisha hali mbaya ya wakimbizi hao.
-
Pirikapirika za Ufaransa za kuwa na nafasi katika nchi iliyogawanyika ya Libya
Jul 27, 2017 07:25Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Paris na viongozi wa pande zinazovutania uongozi wa Libya uliogawanyika.
-
Viongozi hasimu wa Libya wakutana Paris, wakubali kusitisha vita
Jul 25, 2017 22:39Kamanda wa majeshi ya Libya mashariki mwa nchi hiyo, Jenerali Khalifa Haftar na Fayez al Sarraj, Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo, magharibi mwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wamekubaliana kusitisha vita kwa masharti.