-
Ijumaa, 21 Julai, 2017
Jul 21, 2017 00:09Leo ni Ijumaa 26 Shawwal 1438 Hijria, sawa na 21 Julai, 2017
-
Jumatatu tarehe 17 Julai, 2017
Jul 16, 2017 23:51Leo ni Jumatatu tarehe 22 Shawwal 1438 Hijria sawa na Julai 17, 2017
-
Qatar: Ugaidi wa kisiasa ndio kikwazo cha vita dhidi ya ugaidi
Jul 15, 2017 23:45Serikali ya Qatar imetangaza kuwa, ugaidi wa kisiasa na kifikra wa baadhi ya nchi za eneo la Mashariki ya Kati ndio kikwazo kikuu hii leo katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Utendaji wa kibaguzi wa Rais wa Ufaransa kuhusiana na bara la Afrika
Jul 13, 2017 22:22Matamshi ya Rais wa Ufaransa kuhusiana na changamoto ya ustaarabu barani Afrika yamekabiliwa na malalamiko na upinzani mkubwa na akthari ya watu wameyatathmini matamshi yake hayo kuwa ni ya kibaguzi.
-
Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake
Jul 06, 2017 03:11Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kwa mara nyingine amemtaka mkoloni mkongwe wa Ulaya yaan Ufaransa aiombe radhi rasmi nchi yake kutokana na jinai kubwa alizowafanyia wananchi wa Algeria.
-
Velayati: Mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya misimamo mikali
Jul 03, 2017 23:15Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Kistratejia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema kuwa, mataifa ya eneo hili hayatasalimu amri mbele ya matakwa ya mirengo yenye misimamo mikali na waungaji mkono wao.
-
Waislamu Ufaransa watahadharishwa kuhusu ongezeko la mashambulizi ya kigaidi
Jul 03, 2017 08:25Viongozi wa makundi na jumuiya mbalimbali za Kiislamu nchini Ufaransa wamewatahadharisha wafuasi wa dini hiyo kuhusu uwezekano wa kuongezeka mashambulizi yanayowalenga Waislamu nchini humo.
-
Watu 8 wajeruhiwa katika hujuma msikitini Ufaransa
Jul 03, 2017 03:30Watu 8 wamejeruhiwa baada ya kufyatuliwa risasi mbele ya mlango ya msikiti kusini mwa Ufaransa.
-
Ufaransa na malengo ya kisiasa na kiuchumi katika eneo la Sahel, Afrika
Jul 03, 2017 02:32Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa aliwasili jana mjini Bamako, mji mkuu wa Mali kwa lengo la kushiriki katika kikao kilichopewa anwani ya 'Kundi la Nchi Tano za Sahel' na katika fremu ya kuundwa kikosi cha kijeshi cha nchi za eneo hilo.
-
Ufaransa yasisitiza kupambana na ugaidi barani Afrika
Jul 02, 2017 10:31Rais wa Ufaransa amesisitizia udharura wa kupambana ugaidibarani Afrika. Amesisitiza hayo leo katika kikao kilichofanyika Bamako, mji mkuu wa Mali.