• Nyaraka mpya zafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Nyaraka mpya zafichua nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda

    Jul 01, 2017 08:35

    Nyaraka mpya za kihistoria zilizochapishwa hivi karibuni kwa mara nyingine tena zimethibitisha nafasi ya Ufaransa katika mauaji ya kimbari ya Rwanda baada ya kupita miaka 23 tangu kutekelezwa mauaji hayo.

  • Sisitizo la Macron la kubadilika siasa za Ufaransa mkabala na Syria

    Sisitizo la Macron la kubadilika siasa za Ufaransa mkabala na Syria

    Jun 22, 2017 22:02

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alisisitiza Jumatano wiki hii kwamba kumuondoa madarakani Rais Bashar al Assad wa Syria si jambo linalopewa kipaumbele tena na Ufaransa kama njia ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo. Macron amebainisha kuwa nchi yake hivi sasa inatoa kipaumbele kwa suala la kupambana na ugaidi huko Syria.

  • Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Jun 22, 2017 03:33

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa, suala la kuondolewa madarakani Rais Bashar Assad wa Syria halipewi tena kipaumbele kwa ajili ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo katika mtazamo wa Ufaransa.

  • Jumatano 14 Juni, 2017

    Jumatano 14 Juni, 2017

    Jun 13, 2017 22:39

    Leo ni Jumatano tarehe 19 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 14 Juni 2017.

  • Sisitizo la Ufaransa na Ivory Coast la kuimarisha uhusiano baina yao

    Sisitizo la Ufaransa na Ivory Coast la kuimarisha uhusiano baina yao

    Jun 12, 2017 06:23

    Marais Alassane Ouattara wa Ivory Coast na Emmanuel Macron wa Ufaransa wamesisitiza katika mazungumzo yao ya kwanza tangu Rais huyo mpya wa Ufaransa aliposhika hatamu za uongozi juu ya umuhimu wa kuimarisishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbalimbali za kisiasa, kiuchumi na kiusalama.

  • Rais Rouhani afanya mazungumzo na rais mpya wa Ufaransa

    Rais Rouhani afanya mazungumzo na rais mpya wa Ufaransa

    May 23, 2017 03:24

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itaendelea kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya Vienna.

  • Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo nchini Mali

    Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo nchini Mali

    May 21, 2017 02:47

    Katika safari yake ya kwanza barani Afrika, rais mpya wa Ufaransa Emmanuel Macron amesisitizia juu ya kuendelea kuwepo askari wa nchi yake nchini Mali kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

  • Alkhamisi, Mei 18, 2017

    Alkhamisi, Mei 18, 2017

    May 18, 2017 00:00

    Leo ni Alkhamisi tarehe 21 Shaaban 1438 Hijria mwafaka na tarehe 18 Mei mwaka 2017 Miladia.

  • Macron aahidi kufungua ukurasa mpya katika siasa za Ufaransa

    Macron aahidi kufungua ukurasa mpya katika siasa za Ufaransa

    Apr 24, 2017 03:45

    Mgombea wa urais wa harakati ya mrengo wa wastani wa En Marche nchini Ufaransa ameahidi kubadili taswira na mkondo wa siasa za nchi hiyo iwapo ataibuka mshindi katika duru ya pili ya uchaguzi wa urais nchini humo.

  • Ukungu wa giza wa uchaguzi wa rais nchini Ufaransa

    Ukungu wa giza wa uchaguzi wa rais nchini Ufaransa

    Apr 22, 2017 23:53

    Shambulizi la kigaidi lililofanyika majuzi katika mtaa wa Champs-Élysées mjini Paris, Ufaransa siku kadhaa kabla ya uchauzi wa rais wa nchi hiyo si tu kwamba umezidisha anga ya kipolisi nchini humo, bali pia limezidisha wingu la giza kuhusu matokeo ya uchaguzi huo kwa kuathiri kiwango cha uungaji mkono wa raia kwa wagombea wa nafasi hiyo.