-
Kutochapishwa ripoti ya mateso ya CIA kwa kisingizio cha tishio kwa usalama wa taifa wa Marekani
Sep 19, 2022 02:25Ripoti ya Seneti ya Marekani kuhusu mpango wa kikatili wa utesaji na kuwahoji washukiwa wa ugaidi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) chini ya anwani "Programu ya Kuhoji Iliyoboreshwa" haitachapishwa kwa sasa.
-
Ennahda yapinga kamatakamata ya wanasiasa nchini Tunisia
Sep 15, 2022 03:14Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imelaani vikali kile ilichoeleza kuwa ni kukamatwa kiholela kwa watu kadhaa akiwemo kiongozi wa ngazi ya juu wa harakati hiyo, Habib Al-Louz na kutaka waachiliwe huru mara moja.
-
Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11
Sep 12, 2022 08:21Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.
-
Kuongezeka hujuma za kigaidi barani Afrika
Aug 25, 2022 03:42Kuenea kwa hujuma za kigaidi katika kanda tofauti za bara Afrika, hasa kuongezeka kwa mashambulizi yanayotekelezwa na makundi ya Al-Shabaab huko Somalia na Boko Haram nchini Nigeria, kumepelekea kuibuka wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama barani Afrika na duniani kote.
-
Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria
Aug 13, 2022 01:30Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi
Jul 13, 2022 03:28Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli
Jun 21, 2022 02:39Uchunguzi mpya wa gazeti la Marekani la New York Times umethibitisha kuwa risasi iliyomuua mwandishi wa habari wa televisheni ya Al Jazeera ya Qatar, Shireen Abu Akleh, ilifyatuliwa na mwanajeshi wa kikosi maalumu cha Israel, katika eneo ambalo halikuwa na mwanamgambo hata mmoja wa Kipalestina.
-
Shambulizi jipya la kigaidi laua watu 8 nchini Mali
Jun 13, 2022 09:50Kwa akali watu wanane wameuawa katika shambulzi jipya la kigaidi lililotokea kusini mwa Mali.
-
Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika na daghadagha kuu zinazolikabili bara la Afrika
May 29, 2022 10:40Mkutano wa wakuu wa Umoja wa Afrika uliokuwa ukifanyika katika mji mkuu wa Guinea ya Ikweta, Malabo umemalizika.
-
Utawala wa Kizayuni wa Israel, utawala wa mauaji
May 27, 2022 09:10Gazeti la Marekani la New York Times limeripoti kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeitaarifu Marekani kwamba ndio uliohusika na mauaji ya Shahidi Hassan Sayyad Khodaei.