Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ugaidi

  • Kutochapishwa ripoti ya mateso ya CIA kwa kisingizio cha tishio kwa usalama wa taifa wa Marekani

    Kutochapishwa ripoti ya mateso ya CIA kwa kisingizio cha tishio kwa usalama wa taifa wa Marekani

    Sep 19, 2022 02:25

    Ripoti ya Seneti ya Marekani kuhusu mpango wa kikatili wa utesaji na kuwahoji washukiwa wa ugaidi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) chini ya anwani "Programu ya Kuhoji Iliyoboreshwa" haitachapishwa kwa sasa.

  • Ennahda yapinga kamatakamata ya wanasiasa nchini Tunisia

    Ennahda yapinga kamatakamata ya wanasiasa nchini Tunisia

    Sep 15, 2022 03:14

    Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imelaani vikali kile ilichoeleza kuwa ni kukamatwa kiholela kwa watu kadhaa akiwemo kiongozi wa ngazi ya juu wa harakati hiyo, Habib Al-Louz na kutaka waachiliwe huru mara moja.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

  • Kuongezeka hujuma za  kigaidi barani Afrika

    Kuongezeka hujuma za kigaidi barani Afrika

    Aug 25, 2022 03:42

    Kuenea kwa hujuma za kigaidi katika kanda tofauti za bara Afrika, hasa kuongezeka kwa mashambulizi yanayotekelezwa na makundi ya Al-Shabaab huko Somalia na Boko Haram nchini Nigeria, kumepelekea kuibuka wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama barani Afrika na duniani kote.

  • Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Makumi ya magaidi wauawa kaskazini mwa Nigeria

    Aug 13, 2022 01:30

    Kwa akali wanamgambo 29 wameuawa huku wengine wasiopungua 55 wakitiwa mbaroni katika operesheni ya jeshi la Nigeria kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Iran: Israel ndio mzizi wa ugaidi na ukosefu wa usalama Asia Magharibi

    Jul 13, 2022 03:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni wa Israel ndio chimbuko la vitendo vya kigaidi na ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    NYT: Risasi iliyomuua Shireen Abu Akleh ilifyatuliwa na askari wa Kikosi cha Maalumu cha Israeli

    Jun 21, 2022 02:39

    Uchunguzi mpya wa gazeti la Marekani la New York Times umethibitisha kuwa risasi iliyomuua mwandishi wa habari wa televisheni ya Al Jazeera ya Qatar, Shireen Abu Akleh, ilifyatuliwa na mwanajeshi wa kikosi maalumu cha Israel, katika eneo ambalo halikuwa na mwanamgambo hata mmoja wa Kipalestina.

  • Shambulizi jipya la kigaidi laua watu 8 nchini Mali

    Shambulizi jipya la kigaidi laua watu 8 nchini Mali

    Jun 13, 2022 09:50

    Kwa akali watu wanane wameuawa katika shambulzi jipya la kigaidi lililotokea kusini mwa Mali.

  • Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika na daghadagha kuu zinazolikabili bara la Afrika

    Mkutano wa viongozi wa Umoja wa Afrika na daghadagha kuu zinazolikabili bara la Afrika

    May 29, 2022 10:40

    Mkutano wa wakuu wa Umoja wa Afrika uliokuwa ukifanyika katika mji mkuu wa Guinea ya Ikweta, Malabo umemalizika.

  • Utawala wa Kizayuni wa Israel, utawala wa mauaji

    Utawala wa Kizayuni wa Israel, utawala wa mauaji

    May 27, 2022 09:10

    Gazeti la Marekani la New York Times limeripoti kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeitaarifu Marekani kwamba ndio uliohusika na mauaji ya Shahidi Hassan Sayyad Khodaei.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS