-
Mkasa wa moto waua watu 11 katika shule ya vipofu Uganda
Oct 25, 2022 07:40Polisi nchini Uganda inachunguza kiini cha mkasa wa moto uliosababisha vifo vya watu 11 katika Shule ya Salama ya watu wenye matatizo ya kuona katika wilaya ya Mukono, katikati mwa nchi.
-
Benki ya Uganda yazindua akaunti ya kwanza inayofuata sheria za Kiislamu
Oct 21, 2022 08:08Benki ya Finance Trust ya Uganda imezindua akaunti ya kwanza kabisa inayofuata sheria za Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Afrika CDC: Mripuko wa Ebola Uganda unaweza kudhibitiwa
Oct 21, 2022 00:43Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Afrika (Africa CDC) kimesema kuna hatari ya mripuko wa Ebola unaoshuhudiwa nchini Uganda kusambaa katika nchi nyingine, lakini msambao huo unaweza kudhibitiwa hivi sasa.
-
Idadi ya wahanga wa Ebola yazidi kuongezeka Uganda
Oct 19, 2022 04:33Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza kuhusu kuongezeka idadi ya watu wanaoga dunia kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
-
Uganda yafunga wilaya 2 ili kudhibiti msambao wa Ebola
Oct 16, 2022 07:49Serikali ya Uganda imetangaza habari ya kuziweka wilaya mbili za nchi hiyo katika karantini, kwa lengo la kudhibiti mripuko wa virusi vya Ebola unaoshuhudia katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kwa wiki kadhaa sasa.
-
Jumapili, 09 Oktoba, 2022
Oct 08, 2022 22:51Leo ni Jumapili tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1444 Hijria sawa na tarehe 9 Oktoba 2022 Miladia.
-
NGOs zakosoa mradi wa mafuta wa Uganda
Oct 06, 2022 10:13Ripoti iliyotolewa na taasisi mbili za kulinda mazingira zisizo za kiserikali imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kujitokeza uharibifu na taathira za kimazingira kutokana na mradi wenye utata unaohusisha kampuni kubwa ya mafuta ya Ufaransa ya TotalEnergies na Shirika la Kitaifa la Mafuta la Offshore la China (CNOOC).
-
Wanamgambo wa ADF waua watu 10 karibu na Uganda
Oct 05, 2022 23:53Kwa akali watu 10 wameuawa katika shambulizi jipya la waasi wa kundi la Allied Democratic Forces (ADF) katika mkoa wa Kivu Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, karibu na mpaka wa Uganda.
-
Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda
Oct 01, 2022 08:44Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aonana na mawaziri wenzake wa Uganda, Eritrea na Imarati
Sep 25, 2022 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alionana kwa nyakati tofauti na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Uganda, Eritrea na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kubadilishana nao mawazo kuhusu masuala ya kieneo na kimataifa. Mazungumzo ya mawaziri hao yamefanyika mjini New York, Marekani.