-
Barcelona yavunja uhusiano na Israel kutokana na mauaji ya Gaza
May 31, 2025 10:20Baraza la Jiji la Barcelona limetangaza kuvunja uhusiano wa kitaasisi na utawala wa Israel kutokana na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Kwa nini Uhispania imeongeza mashinikizo dhidi ya Israel?
May 22, 2025 02:18Bunge la Uhispania limepitisha muswada unaoitaka serikali ya nchi hiyo kuacha kuuzia utawala ghasibu wa Israel zana zozote za kijeshi.
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni ni utawala wa mauaji ya kizazi?
May 16, 2025 02:16Sisitizo la Israel la kuendeleza vita Gaza katika mwezi wake wa ishirini na kuendelea kuwaua kwa umati wakazi wa ukanda huo hususan wanawake na watoto si tu kwamba kumeibua mijadala ya upinzani na kulaaniwa kimataifa kitendo hicho, bali hata nchi za Ulaya zimekuwa zikiukosoa utawala huo ghasibu kwa hatua zake hizo za kikatili.
-
Kulaani nchi za Ulaya hatua ya Israel ya kuzuia misaada ya kibinadamu Gaza
May 03, 2025 02:16Huku mashambulizi ya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza yakiendelea na hali ya mambo katika eneo hilo kuwa mbaya zaidi, Uhispania, Ubelgiji na Ireland, nchi tatu wanachama wa Umoja wa Ulaya zimekosoa vikali kitendo cha utawala ghasibu wa Israel cha kukiuka usitishaji vita na kuanzisha tena mashambulizi katika Ukanda wa Gaza.
-
Jumamosi, tarehe 12 Aprili, 2025
Apr 12, 2025 14:59Leo ni Jumamosi tarehe 13 Shawwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 12 Aprili 2025.
-
Waziri Mkuu wa Uhispania: Sitaruhusu mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina huko Gaza
Feb 16, 2025 13:53Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sánchez, amepinga vikali mpango wa Rais wa Marekani wa kutwaa Ukanda wa Gaza na kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi nchi jirani kama Jordan na Misri, akisisitiza kwamba Madrid haitaruhusu mpango huo kutekelezwa.
-
Kadi nyekundu yatolewa kwa Israel kwenye mechi kati ya Osasuna na Real Madrid
Feb 16, 2025 09:26Mashabiki wa klabu ya Osasuna ya Uhispania wametoa wito wa kukomeshwa uhalifu wa utawala wa Israel huko Palestina katika mechi na mpira wa miguu iliyofanyika jana Jumamosi kati ya timu hiyo dhidi ya Real Madrid.
-
Bunge la Uhispania lahimizwa kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel
Dec 22, 2024 07:45Jukwaa jipya lililoundwa kwa jina la Wanasheria wa Palestina linalojumuisha mawakili, majaji, waendesha mashtaka na wanasomi mbalimbali limetaka Kongresi ya Uhispania kuunga mkono pendekezo la kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israel na kuuwekea vikwazo utawala huo vamizi unaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Jumapili, 15 Disemba, 2024
Dec 15, 2024 02:45Leo ni Jumapili 13 Mfunguo Tisa Jamadithani 1446 Hiijria sawa na 15 Disemba 2024 Miladia.
-
Maandamano makubwa yafanyika Uhispania kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
Nov 27, 2024 06:22Maandamano yamefanyika katika miji tofauti ya Uhispania kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni.