Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhispania

  • Polisi wa Uhispania wawafurusha mamia ya wahamiaji haramu katika mji wa Badalona

    Polisi wa Uhispania wawafurusha mamia ya wahamiaji haramu katika mji wa Badalona

    Dec 18, 2025 07:22

    Polisi nchini Uhispania Jumatano waliwafurusha mamia ya wahamiaji haramu waliokuwa wakiishi katika jengo la shule lililotelekezwa katika mji wa Badalona unaopakana na mji wa Barcelona kaskazini-mashariki mwa Uhispania.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Kampeni ya Marekani katika maji ya Karibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Kampeni ya Marekani katika maji ya Karibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

    Dec 15, 2025 02:18

    Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kwamba kampeni ya Marekani katika maji ya Karibi ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Usitishaji vita hauipi kinga Israel ya kutoadhibiwa kwa mauaji ya kimbari ya Gaza

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Usitishaji vita hauipi kinga Israel ya kutoadhibiwa kwa mauaji ya kimbari ya Gaza

    Oct 15, 2025 03:25

    Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amesisitiza kuwa makubaliano ya kusitisha vita Gaza yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na Israel yasifanywe kuwa fidia ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israel Ukanda wa Gaza.

  • Bunge la Uhispania laidhinisha marufuku ya kuuuzia silaha utawala wa kizayuni wa Israel

    Bunge la Uhispania laidhinisha marufuku ya kuuuzia silaha utawala wa kizayuni wa Israel

    Oct 09, 2025 10:38

    Bunge la Uhispania limeidhinisha vikwazo vya silaha vilivyopendekezwa na Waziri Mkuu Pedro Sanchez dhidi ya utawala wa kizayunii wa Israel.

  • Uhispania imefuta makubaliano ya silaha ya Euro milioni 700 na Israel kutokana na mauaji ya kimbari

    Uhispania imefuta makubaliano ya silaha ya Euro milioni 700 na Israel kutokana na mauaji ya kimbari

    Sep 16, 2025 12:04

    Uhispania imefuta mkataba wa silaha zenye thamani ya mamilioni ya yuro na Israel kutokana na vita na mauaj ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala huo dhidi ya Gaza.

  • Jumatatu, 15 Septemba, 2025

    Jumatatu, 15 Septemba, 2025

    Sep 15, 2025 04:02

    Leo ni Jumatatu 22 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na 15 Septemba 2025.

  • Waziri Mkuu wa Uhispania: Nasikitika hatuna bomu la nyuklia tukaizuia Israel isishambulie Ghaza!

    Waziri Mkuu wa Uhispania: Nasikitika hatuna bomu la nyuklia tukaizuia Israel isishambulie Ghaza!

    Sep 12, 2025 10:28

    Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez ameendelea kukosoa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huku akieleza kwa masikitiko kwamba Uhispania haina bomu la nyuklia, manowari ya kubebea ndege za kivita, wala utajiri mkubwa wa mafuta, vitu vitakavyoiwezesha kusimamisha peke yake mashambulizi ya utawala huo dhidi ya Ghaza; lakini hiyo haimaanishi kwamba Madrid itasitisha juhudi zake.

  • Uhispania yamuita nyumbani balozi wake wa Israel

    Uhispania yamuita nyumbani balozi wake wa Israel

    Sep 10, 2025 06:40

    Vyombo vya habari vya Uingereza vimeripoti kuwa Uhispania imemuita tena balozi wake katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) ikilalamikia sera za mauaji za Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Uhispania yataka Israel ifukuzwe kwenye mashindano ya baiskeli

    Uhispania yataka Israel ifukuzwe kwenye mashindano ya baiskeli

    Sep 06, 2025 11:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania ameunga mkono wito wa kuondolewa timu ya waendesha baiskeli ya Israel kwenye mashindano ya mchezo huo yanayoendelea, kufuatia maandamano na malalamiko ya waungaji mkono wa Palestina nchini humo.

  • Raia 102 wa kigeni magaidi na matapeli wa mitandaoni watimuliwa Nigeria, wengi wao ni Wachina

    Raia 102 wa kigeni magaidi na matapeli wa mitandaoni watimuliwa Nigeria, wengi wao ni Wachina

    Aug 22, 2025 10:04

    Serikali ya Nigeria imewatimua raia wa kigeni 102 wakiwemo Wachina 50 waliopatikana na hatia ya kuhusika na "ugaidi wa mitandaoni na utapeli wa mitandaoni".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS