• Amnesty yaitaka Uhispania iache kuiuzia Saudia meli za kivita

    Amnesty yaitaka Uhispania iache kuiuzia Saudia meli za kivita

    Nov 12, 2016 04:19

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Uhispania iache kuiuzia Saudi Arabia manowari za kijeshi na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Ulaya inapaswa kusitisha mauzo hayo kwa kuwa yumkini meli hizo za kivita zikatumika dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.