Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uistikbari na ubeberu

  • Nasrullah: Muqawama utavunja njama za mabeberu

    Nasrullah: Muqawama utavunja njama za mabeberu

    Dec 28, 2016 02:50

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema muqawama na kusimama kidete kutasambaratisha njama za madola ya kibeberu na kiistikbari katika nchi za Syria, Iraq na Lebanon.

  • Zarif: Ubeberu wa nchi za Magharibi duniani umepitwa na wakati

    Zarif: Ubeberu wa nchi za Magharibi duniani umepitwa na wakati

    Dec 12, 2016 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, zama za uistikbari na ubeberu wa madola makubwa ya Magharibi zimepita na kwamba enzi hizo hazina nafasi katika dunia ya sasa.

  • Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Nov 09, 2016 11:27

    Tarehe 13 mwezi Aaban mwaka wa Hijria Shamsia ambayo mwaka huu inasadifiana na tarehe 3 Novemba, inatambuliwa hapa nchini Iran kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa.

  • Rouhani: Nchi za kibeberu zinafanya maonyesho ya kisiasa katika

    Rouhani: Nchi za kibeberu zinafanya maonyesho ya kisiasa katika "vita dhidi ya ugaidi"

    Oct 25, 2016 07:54

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu na kiistikbari yanawachezea shere walimwengu sambamba na kufanya maonyesho ya kisiasa katika kile wanachokitaja kuwa 'vita dhidi ya ugaidi.'

  • Ayat. Khatami: Njama za maadui za kuipuuza kadhia ya Palestina kamwe hazitafanikiwa

    Ayat. Khatami: Njama za maadui za kuipuuza kadhia ya Palestina kamwe hazitafanikiwa

    Jul 01, 2016 15:16

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo katika jiji la Tehran amesema kuwa, njama za maadui wa Uislamu za kuipuuza kadhia ya Palestina na Quds Tukufu kamwe hazitafanikiwa kutokana na kuwa macho na kusimama kidete Waislamu hususan wananchi wa Palestina.

  • Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Ayatullah Kashani awataka Waislamu kushikamana

    Jun 17, 2016 14:22

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo hapa Tehran ameyatolea mwito mataifa yote ya Waislamu kushikamana na kuwa kitu kimoja mbele ya njama za ustikbari na Uzayuni wa kimataifa dhidi ya Dini Tukufu ya Uislamu.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS