-
UN yakataa kuzitambua kura za maoni za kuyaunganisha na Russia maeneo ya Ukraine
Oct 13, 2022 04:21Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha azimio la nne tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine ambapo limekataa kutambua kura za maoni za kuyaunganisha na Russia maeneo kadhaa ya ardhi ya Ukraine.
-
Russia: Rais wa Ukraine anachochea vita vya tatu vya dunia
Oct 07, 2022 08:00Ikulu ya Russia, Kremlin imemshutumu Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa kujaribu kuzusha vita vya tatu vya dunia, baada ya kulitaka shirika la kijeshi la NATO lianzishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Russia ili kuizuia isitumie silaha za nyuklia.
-
Russia: Msaada wa silaha wa Marekani kwa Ukraine unaiweka Russia na NATO katika makabiliano ya kijeshi
Oct 05, 2022 03:37Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Russia amekosoa misaada ya silaha ya Marekani kwa Ukraine, akisema inaziweka Moscow na NATO kwenye ncha ya makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi.
-
Shirika la IMF limejitosa kwenye vita vya Ukraine?
Oct 04, 2022 04:08Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) unatafakari suala la kuipa Ukraine dola bilioni 1.3 kama fedha za dharura.
-
Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia
Oct 03, 2022 22:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inasababisha kupata hasara kubwa na kusambaratishwa Ukraine kwa ajili ya kutoa vitisho kwa Russia.
-
Nusu ya Wamarekani wanapinga kutumwa silaha Ukraine
Sep 28, 2022 22:51Uchunguzi mpya wa maoni umebaini kuwa, karibu nusu ya Wamarekani wanapinga kutuma misaada ya kijeshi ya Marekani kwa Ukraine.
-
Majimbo ya Ukraine yapiga kura ya kujiunga na Russia katika siku ya mwisho ya kura ya maoni
Sep 28, 2022 01:19Raia katika majimbo mawili yaliyotangaza kujitenga na Ukraine mashariki mwa nchi hiyo ya Luhansk na Donetsk na pia maeneo ya Kherson na Zaporizhia yanayodhibitiwa na Russia jana Jumanne walishiriki katika kura ya maoni ikiwa ni siku ya mwisho ya zoezi hilo.
-
Katibu Mkuu wa NATO: Mzozo wa Ukraine hautamalizika karibuni
Sep 17, 2022 02:51Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amesema mzozo kati ya Russia na Ukraine hautaisha hivi karibuni, licha ya kile alichokiita shambulio "athirifu" la kujibu mapigo lililofanywa na vikosi vya Kiev dhidi ya wanajeshi wa Moscow.
-
China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani
Sep 03, 2022 21:54China imetangaza kuwa Marekani, ambayo ndio msababishaji mkuu wa mgogoro wa Ukraine inafaidika na kuendelea kwa vita katika nchi hiyo.
-
Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani
Sep 02, 2022 03:19Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi.