-
Russia: Ukraine imekiri kuwa na mpango wa kuunda bomu la atomiki
Aug 31, 2022 21:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, serikali ya Ukraine imekiri kuwa na mpango wa kuunda bomu la atomiki na katu haijawahi kuficha kwamba ilikuwa ikijiandaa kwa ajili ya kukabiliana kijeshi na Russia.
-
Russia: Hatutasimamisha vita hata Ukraine ikiacha azma ya kujiunga na NATO
Aug 28, 2022 02:16Rais wa zamani wa Russia amesema iwapo Ukraine ingeliruhusiwa kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO, Vita vya Tatu vya Dunia vingelikuwa vimeshaanza.
-
Russia: Hatutasitisha operesheni ya kijeshi Ukraine mpaka tuyafikie malengo yetu yote
Aug 26, 2022 22:52Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema nchi hiyo haitasitisha operesheni yake maalumu ya kijeshi ndani ya ardhi ya Ukraine mpaka iyafikie malengo yake yote.
-
Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine
Aug 24, 2022 05:08Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.
-
Marekani yawataka raia wake waondoke haraka Ukraine
Aug 23, 2022 23:49Marekani imewataka raia wake waondoke nchini Ukraine haraka iwezekanvyo, huku kukiwa na wasiwasi wa Russia kuanza kuushambulia mji mkuu wa nchi hiyo, Kiev.
-
Jumatano 24 Agosti 2022
Aug 23, 2022 22:03Leo ni Jumatano tarehe tarehe 26 Muharram 1444 Hijria Qamaria sawa na tarehe 24 Agosti 2022.
-
Russia: Uingiliaji wa Marekani katika vita vya Ukraine unazidisha machafuko Asia na Afrika
Aug 17, 2022 02:46Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Russia amesema kuwa, uingiliaji wa Marekani na waitifaki wake katika vita vya Ukraine umezidisha ukosefu wa utulivu katika eneo la Asia Magharibi na barani Afrika.
-
Guterres kutembelea Ukraine kesho Alkhamisi
Aug 17, 2022 02:23Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anatarajiwa kukutana na marais wa Ukraine na Uturuki katika ziara yake ya kesho Alkhammisi nchini Ukraine.
-
Kukiri Mkuu wa Sera za Nje wa EU kwamba Magharibi imeonyesha undumakuwili katika kadhia za Ukraine na Gaza
Aug 14, 2022 21:52Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amekiri kuwa nchi za Magharibi zinatumia vipimo vya nyuso mbili na za undumilakuwili kuhusiana na masuala ya kimataifa.
-
Wamagharibi wakosolewa kwa undumakuwili juu ya vita Ukraine na Gaza
Aug 14, 2022 02:55Harakati inayopinga dhulma na ukandamizaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina imekosoa vikali undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu vita nchini Ukraine kwa upande mmoja na katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa upande mwingine.