Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukraine

  • Majimbo ya Ukraine yapiga kura ya kujiunga na Russia katika siku ya mwisho ya kura ya maoni

    Majimbo ya Ukraine yapiga kura ya kujiunga na Russia katika siku ya mwisho ya kura ya maoni

    Sep 28, 2022 01:19

    Raia katika majimbo mawili yaliyotangaza kujitenga na Ukraine mashariki mwa nchi hiyo ya Luhansk na Donetsk na pia maeneo ya Kherson na Zaporizhia yanayodhibitiwa na Russia jana Jumanne walishiriki katika kura ya maoni ikiwa ni siku ya mwisho ya zoezi hilo.

  • Katibu Mkuu wa NATO: Mzozo wa Ukraine hautamalizika karibuni

    Katibu Mkuu wa NATO: Mzozo wa Ukraine hautamalizika karibuni

    Sep 17, 2022 02:51

    Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amesema mzozo kati ya Russia na Ukraine hautaisha hivi karibuni, licha ya kile alichokiita shambulio "athirifu" la kujibu mapigo lililofanywa na vikosi vya Kiev dhidi ya wanajeshi wa Moscow.

  • China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    China: Vita vya Ukraine vinaisababishia hasara kubwa Ulaya na kuipatia faida nono Marekani

    Sep 03, 2022 21:54

    China imetangaza kuwa Marekani, ambayo ndio msababishaji mkuu wa mgogoro wa Ukraine inafaidika na kuendelea kwa vita katika nchi hiyo.

  • Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani

    Sep 02, 2022 03:19

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi.

  • Russia: Ukraine imekiri kuwa na mpango wa kuunda bomu la atomiki

    Russia: Ukraine imekiri kuwa na mpango wa kuunda bomu la atomiki

    Aug 31, 2022 21:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, serikali ya Ukraine imekiri kuwa na mpango wa kuunda bomu la atomiki na katu haijawahi kuficha kwamba ilikuwa ikijiandaa kwa ajili ya kukabiliana kijeshi na Russia.

  • Russia: Hatutasimamisha vita hata Ukraine ikiacha azma ya kujiunga na NATO

    Russia: Hatutasimamisha vita hata Ukraine ikiacha azma ya kujiunga na NATO

    Aug 28, 2022 02:16

    Rais wa zamani wa Russia amesema iwapo Ukraine ingeliruhusiwa kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO, Vita vya Tatu vya Dunia vingelikuwa vimeshaanza.

  • Russia: Hatutasitisha operesheni ya kijeshi Ukraine mpaka tuyafikie malengo yetu yote

    Russia: Hatutasitisha operesheni ya kijeshi Ukraine mpaka tuyafikie malengo yetu yote

    Aug 26, 2022 22:52

    Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema nchi hiyo haitasitisha operesheni yake maalumu ya kijeshi ndani ya ardhi ya Ukraine mpaka iyafikie malengo yake yote.

  • Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine

    Aug 24, 2022 05:08

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.

  • Marekani yawataka raia wake waondoke haraka Ukraine

    Marekani yawataka raia wake waondoke haraka Ukraine

    Aug 23, 2022 23:49

    Marekani imewataka raia wake waondoke nchini Ukraine haraka iwezekanvyo, huku kukiwa na wasiwasi wa Russia kuanza kuushambulia mji mkuu wa nchi hiyo, Kiev.

  • Jumatano 24 Agosti 2022

    Jumatano 24 Agosti 2022

    Aug 23, 2022 22:03

    Leo ni Jumatano tarehe tarehe 26 Muharram 1444 Hijria Qamaria sawa na tarehe 24 Agosti 2022.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS