-
Ijumaa, 31 Mei, 2024
May 31, 2024 02:38Ijumaa tarehe 22 Dhuulqaada 1445 hijria sawa na Mei 31, 2024.
-
"Yesu wa Tongaren" afikishwa mahakamani nchini Kenya
May 12, 2023 08:48Raia wa Kenya aliyejitangaza kuwa ni Yesu na kuanzisha Kanisa la New Jerusalem eneo la Tongaren, Bungoma, alitarajiwa kurejeshwa mahakamani leo Ijumaa baada ya kulala kwenye seli ya polisi.
-
Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake kubakia rumande kwa siku 30 Kenya
May 10, 2023 11:46Mhubiri tata wa Kikristo Paul Mackenzie anayekabiliwa na tuhuma za kuwashawishi wafuasi wake wafunga ili wawe wa kwanza kwenda mbinguni na kukutana na Yesu, Paul Mackenzie na mkewe Rhoda Maweu pamoja na washukiwa wengine 16 watazuiliwa kwa siku 30 gerezani.
-
Kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Issa Masih (as)
Dec 30, 2022 11:04Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasiklilizaji popote pale mlipo. Karibu kkutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujienii kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Issa Masih (as) Mtume na mja wa Mwenyezi Mungu. Nataraji mtakuwa pamoja nami hadi mwisho wa dakika hizi chache. Karibuni.
-
Rais wa Iran amtumia Papa Francis Salamu za Krismasi
Dec 26, 2022 12:01Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Nabii Isa bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-na kuwadia mwaka mpya wa Miladia.
-
Utafiti: Idadi ya Wakristo inazidi kupungua nchini Australia
Sep 10, 2022 02:22Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Takwimu ya Australia umefichua kuwa, Ukristo unazidi kuporomoka nchini humo, huku aghalabu ya raia wa nchi hiyo hakijiarifisha kama watu wasio na dini.
-
Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo"... Je, nchi za Magharibi zinarudi kwenye upagani?
Jul 25, 2022 11:30Mwandishi na mwanafalsafa wa Ufaransa, Chantal Delsol anasema kwamba ustaarabu unaotegemea mila na sheria za imani ya Kikristo umenyauka tangu mwisho wa karne ya 20, kwa sababu Ukristo unazidi kutoweka kama marejeo makuu ya sheria, desturi na maadili, baada ya kkutawala Uulaya na Magharibi kwa karibu karne 16.
-
Alhamisi, 31 Mei, 2018
May 31, 2018 03:43Leo ni Alkhamisi tarehe 15 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, mwaka 1439 Hijria inayosadifiana na tarehe 31 Mei mwaka 2018 Miladia.
-
PEW: Waislamu wataendelea kuongezeka kwa kasi duniani
May 29, 2017 03:43Shirika moja la utafiti nchini Marekani limesema uchunguzi umebaini kuwa, idadi ya Waislamu itazidi kuongezeka kwa kasi duniani.
-
Maaskofu wa Marekani watuhumiwa kuficha ufuska wa makasisi wa kuwanajisi watoto
Mar 03, 2016 07:52Maaskofu wawili wa Marekani wamepatikana na hatia kuwa walificha vitendo viovu vya makaksi wa Kikatoliki vya kuwanajisi watoto wadogo.