-
Mufti wa Syria: Tuliitahadharisha Ulaya kuhusu hatari ya ugaidi
Mar 28, 2016 08:31Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesema nchi hiyo ilikwisha zitahadharisha hapo kabla nchi za Ulaya kuhusu hatari ya kupenya na kuenea ugaidi katika nchi hizo.
-
Jordan: Uturuki ndio muasisi wa misimamo ya kufurutu mipaka
Mar 25, 2016 21:37Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa Uturuki ndio chimbuko la misimamo ya kufurutu katika eneo la Mashariki ya Kati na bara Ulaya.
-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:57Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.
-
Wanachama 400 wa Daesh wameingia Ulaya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi
Mar 24, 2016 03:35Kundi la kigaidi la Daesh limetuma wanachama 400 katika nchi za Ulaya kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya kigaidi.
-
IOM: Wakimbizi 410 wamefariki dunia wakiingia Ulaya 2016
Feb 23, 2016 22:15Wakimbizi na wahajiri wapatao 410 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.