Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulimwengu wa Michezo

  • Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura

    Iran yaiomba FIFA kuruhusu vitambaa vyeusi vya mkononi katika mechi na Misri sambamba na Ashura

    Jun 10, 2026 04:03

    Shirikisho la Soka la Iran limeomba rasmi ruhusa ya FIFA kwa wachezaji wa timu yake ya taifa kuvaa vitambaa vyeusi mikononi wakati wa mechi yao ijayo ya Kombe la Dunia dhidi ya Misri, ili kuenzi mwezi wa Muharram na tukio la Ashura ya mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).

  • Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga

    Kulazimisha Timu ya Taifa ya Iran kuingia na kutoka Marekani siku ya mechi si haki na ni janga

    Jun 08, 2026 03:17

    Kocha wa soka wa Iran na mchezaji wa zamani wa kimataifa ameishutumu serikali ya Marekani kwa kuingiza siasa katika michezo, akitaja vikwazo vya visa na matatizo ya kiutawala yanayowakabili wachezaji na wasimamizi wa Timu ya Taifa ya Soka ya Iran.

  • Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia

    Baqaei: Marekani inapasa kudhamini ushiriki wa timu ya taifa ya Iran katika mashindano ya Kombe la Dunia

    May 26, 2026 02:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amezungumzia uvumi unaoendelea kuhusu kushiriki wa timu ya taifa ya kandanda ya Iran katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026, na kusisitiza kuwa Marekani inawajibika kuandaa mazingira yanayofaa kwa timu hiyo kushiriki katika mashindano bila vizuizi vyovyote.

  • Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    Arsenal yatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya Man City kulazimishwa sare na FC Bournemouth

    May 20, 2026 03:56

    Hatimaye baada ya miaka 22 ya ukame, Arsenal au ukipenda waite The Gunners wametwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu wa 2025-26 baada ya Man City kulazimishwa sare ya bao moja kwa moja na The Cherries ambao nao walikuwa wanafukuzia angalau alama moja ili wafaulu kushiriki kombe la Uefa Conference Cup msimu ujao.

  • Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli

    Mchezaji wa tenisi wa Iran ajiondoa mashindano ya dunia kuepuka kushindana na Muisraeli

    May 10, 2026 09:04

    Mchezaji chipukizi wa tenisi kutoka Iran, Hana Shabanpour, amejiondoa katika fainali ya mashindano ya J60 Turkey World Tour siku ya Jumapili baada ya kukataa kucheza dhidi ya mpinzani aliyekuwa akiwakilisha utawala wa Israel, kama ishara ya kupinga mauaji na mateso dhidi ya Wapalestina.

  • Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia

    Iran yatibua mpango wa Trump kuhusu Kombe la Dunia

    May 05, 2026 11:51

    Iran imevuruga mipango ya Rais wa Marekani, Donald Trump, si tu katika nyanja za uchumi, siasa na masuala ya kijeshi kufuatia mvutano kati ya pande hizo mbili, bali pia katika mradi unaohusiana na Kombe la Dunia FIFA 2026.

  • Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel

    Palestina yajibu hatua ya Rais wa FIFA, yasema wanasoka 566 wa wameuawa na Israel

    May 05, 2026 11:37

    Shirikisho la Soka la Palestina limechapisha ripoti kuhusu mauaji ya wachezaji wa mpira wa miguu na uharibifu wa miundombinu ya soka uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya

    Mkuu wa Shirikisho la Soka Iran akataa simu ya Waziri Mkuu wa Canada baada ya kutendewa vibaya

    May 04, 2026 10:19

    Mkuu wa Shirikisho la Soka la Iran, Mehdi Taj, amekataa ombi la maafisa wa Canada la kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Mark Carney baada ya wajumbe wa Iran kuvunjiwa heshima na maafisa wa mpaka wa Canada.

  • Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?

    Iran kufuta tuzo ya FIFA kwa Trump?

    Apr 28, 2026 09:45

    Vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, baada ya kusababisha hasara za kiuchumi na kutia doa hadhi ya kijeshi na kisiasa ya Marekani sasa vimeweka kivuli kizito juu ya kinachoitwa tuzo ya amani ya FIFA kwa rais Donald Trump.

  • Spoti, Feb 23

    Spoti, Feb 23

    Feb 23, 2026 04:43

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita kitaifa, kieneo na kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS