Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Falme za Kiarabu

  • Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko Imarati

    Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko Imarati

    Mar 21, 2022 02:35

    Rais wa Syria Bashar al-Assad Ijumaa iliyopita alifanya ziara yake ya kwanza katika nchi ya Kiarabu baada ya miaka 11. Assad alitembelea nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika ziara ambayo imewashangaza wengi na kuikasirisha mno serikali ya Marekani

  • Iran: Azimio la UNSC kuhusu Yemen lina taathira hasi kwa mwenendo wa kutafuta amani

    Iran: Azimio la UNSC kuhusu Yemen lina taathira hasi kwa mwenendo wa kutafuta amani

    Mar 02, 2022 03:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Yemen na lugha iliyotumika katika azimio hilo vitakuwa na taathira hasi kwa mwenendo wa amani na kupanua zaidi ufa uliopo baina ya misimamo ya pande mbili zinazopigana.

  • Yemen: Ikiwa UAE itaendeleza uadui, tutaishambulia hadi ndani kabisa ya ardhi yake

    Yemen: Ikiwa UAE itaendeleza uadui, tutaishambulia hadi ndani kabisa ya ardhi yake

    Jan 13, 2022 04:12

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ameionya Imarati (UAE) kuwa, endapo itaendeleza uadui, vikosi vyao vya serikali ya uwokovu wa kitaifa vitashambulia hadi maeneo ya ndani kabisa ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Alkhamisi tarehe Pili Disemba 2021

    Alkhamisi tarehe Pili Disemba 2021

    Dec 02, 2021 04:26

    Leo ni Alkhamisi tarehe 26 Rabiuthani 1443 Hijria sawa na tarehe Pili Disemba 2021.

  • Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran

    Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran

    Apr 30, 2021 03:12

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameelezea kufurahishwa kwake na msimamo mpya wa Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kuhusu kuwa na uhusiano mzuri na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria

    Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria

    Apr 18, 2021 06:28

    Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), naibu wake na mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi, wamemtumia, kwa nyakati tofauti, Rais Bashar al Assad wa Syria salamu za pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya uhuru na kufikia tamati kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na Wakoloni Wafaransa.

  • Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati

    Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati

    Apr 15, 2021 08:15

    Miezi kadhaa ikiwa imepita tokea Joe Biden atangaze kusimamisha na kutazmwa upya mkataba wa mauzo ya silaha za Marekani kwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), rais huyo mpya wa Marekani ametangaza kuwa ataendelea na mpango wa awali wa kuiuzia nchi hiyo ya Kiarabu silaha zenye thamani ya dola bilioni 23, ikiwa ni pamoja na ndege za kivita aina ya F35, droni zenye kubeba silaha na zana nyinginezo za kivita

  • UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    Mar 10, 2021 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametoa mwito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel

    Jan 13, 2021 14:31

    Shirika la Ndege la Umoja wa Falme za Kiarabu, Emirates Airline, limemfuta kazi rubani wake mmoja raia wa Tunisia ambaye alikataa amri ya kurusha ndege kuelekea Israel.

  • Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati

    Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati

    Jan 03, 2021 13:29

    Baadhi ya vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, watalii kutoka Israel wanaoelekea Umoja wa Falme za Kiarabu wanaingiza kimagendo madawa ya kulevya katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS