-
Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko Imarati
Mar 21, 2022 02:35Rais wa Syria Bashar al-Assad Ijumaa iliyopita alifanya ziara yake ya kwanza katika nchi ya Kiarabu baada ya miaka 11. Assad alitembelea nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika ziara ambayo imewashangaza wengi na kuikasirisha mno serikali ya Marekani
-
Iran: Azimio la UNSC kuhusu Yemen lina taathira hasi kwa mwenendo wa kutafuta amani
Mar 02, 2022 03:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Yemen na lugha iliyotumika katika azimio hilo vitakuwa na taathira hasi kwa mwenendo wa amani na kupanua zaidi ufa uliopo baina ya misimamo ya pande mbili zinazopigana.
-
Yemen: Ikiwa UAE itaendeleza uadui, tutaishambulia hadi ndani kabisa ya ardhi yake
Jan 13, 2022 04:12Mjumbe wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ameionya Imarati (UAE) kuwa, endapo itaendeleza uadui, vikosi vyao vya serikali ya uwokovu wa kitaifa vitashambulia hadi maeneo ya ndani kabisa ya ardhi ya nchi hiyo.
-
Alkhamisi tarehe Pili Disemba 2021
Dec 02, 2021 04:26Leo ni Alkhamisi tarehe 26 Rabiuthani 1443 Hijria sawa na tarehe Pili Disemba 2021.
-
Imarati yaunga mkono msimamo mpya wa Saudia kuhusu Iran
Apr 30, 2021 03:12Mrithi wa kiti cha ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ameelezea kufurahishwa kwake na msimamo mpya wa Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia kuhusu kuwa na uhusiano mzuri na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Viongozi wa UAE wamtumia salamu za pongezi Rais Assad kwa mnasaba wa siku ya uhuru wa Syria
Apr 18, 2021 06:28Kiongozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), naibu wake na mrithi wa ufalme wa Abu Dhabi, wamemtumia, kwa nyakati tofauti, Rais Bashar al Assad wa Syria salamu za pongezi kwa mnasaba wa kuadhimisha siku ya uhuru na kufikia tamati kukaliwa kwa mabavu nchi hiyo na Wakoloni Wafaransa.
-
Mauzo ya silaha ya serikali ya Biden kwa Imarati
Apr 15, 2021 08:15Miezi kadhaa ikiwa imepita tokea Joe Biden atangaze kusimamisha na kutazmwa upya mkataba wa mauzo ya silaha za Marekani kwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), rais huyo mpya wa Marekani ametangaza kuwa ataendelea na mpango wa awali wa kuiuzia nchi hiyo ya Kiarabu silaha zenye thamani ya dola bilioni 23, ikiwa ni pamoja na ndege za kivita aina ya F35, droni zenye kubeba silaha na zana nyinginezo za kivita
-
UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League
Mar 10, 2021 02:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametoa mwito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Shirika la Emirates lamfuta kazi rubani Mtunisia aliyekataa kurusha ndege kuelekea Israel
Jan 13, 2021 14:31Shirika la Ndege la Umoja wa Falme za Kiarabu, Emirates Airline, limemfuta kazi rubani wake mmoja raia wa Tunisia ambaye alikataa amri ya kurusha ndege kuelekea Israel.
-
Watalii kutoka Israel waingiza kimagendo madawa ya kulevya nchini Imarati
Jan 03, 2021 13:29Baadhi ya vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, watalii kutoka Israel wanaoelekea Umoja wa Falme za Kiarabu wanaingiza kimagendo madawa ya kulevya katika nchi hiyo ya Kiarabu.