Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yapitisha azimio kuitaka Israel iachane na mpango wa kumiliki silaha za atomiki

    UN yapitisha azimio kuitaka Israel iachane na mpango wa kumiliki silaha za atomiki

    Dec 08, 2020 23:06

    Umoja wa Mataifa umepitisha azimio lenye anuani "hatari ya kuenea silaha za nyuklia Asia Magharibi" na kuutaka utawala haramu wa Kizayuni wa Israel uachane na mpango wa kumiliki silaha za atomiki.

  • Ombi kwa Biden kwa ajili ya kuhitimisha ushiriki wa Marekani katika vita vya Yemen

    Ombi kwa Biden kwa ajili ya kuhitimisha ushiriki wa Marekani katika vita vya Yemen

    Dec 05, 2020 21:13

    Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya zina nafasi muhimu katika vita huko Yemen ambavyo viilanzishwa tangu mwezi Machi mwaka 2015 na muungano vamizi chini ya uongozi wa Saudi Arabia kutokana na hatua yao ya kuzipatia Saudia na Imarati misaada mbalimbali ya kilojistiki, kiintelijensia na kijeshi. Kitendo hicho kimekosolewa vikali na jumuiya mbalimbali za kutetea haki za binadamu.

  • Mjumbe wa UN: Libya ina

    Mjumbe wa UN: Libya ina "hali mbaya sana" kwa kuendelea kuwepo wapiganaji 20,000 wa kigeni

    Dec 03, 2020 03:59

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametahadharisha kuwa, kuwepo wapiganaji na mamluki wasiopungua 20,000 wa kigeni nchini humo kunaifanya "hali iwe mbaya sana" huku silaha zikiendelea kumiminika pia katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini iliyoharibiwa vibaya na vita.

  • Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mivutano huko al Hudaydah, Yemen

    Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mivutano huko al Hudaydah, Yemen

    Dec 01, 2020 00:54

    Mkuu wa Timu ya Uangalizi ya Umoja wa Mataifa huko Yemen ametaka kutekelezwa usitishaji vita katika mji wa al Hudaydah magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kusitishwa mivutano katika eneo hilo.

  • Burundi yataka kufungwa ofisi ya mjumbe maalumu wa UN nchini humo

    Burundi yataka kufungwa ofisi ya mjumbe maalumu wa UN nchini humo

    Nov 20, 2020 23:14

    Serikali ya Burundi imesema haikaribishi tena kuwepo na Ofisi ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini humo, na kwamba taifa hilo lina amani baada ya kushuhudia mgogoro wa kisiasa kwa miaka kadhaa.

  • Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao

    Nov 20, 2020 04:17

    Umoja wa Mataifa umepasisha azimio linalotilia mkazo haki walionayo Wapalestina ya kujiainishia hatima na mustakabali wao.

  • UN: Watu 3,700 wanapoteza maisha kila siku katika ajali za barabarani

    UN: Watu 3,700 wanapoteza maisha kila siku katika ajali za barabarani

    Nov 15, 2020 23:34

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kuongezeka idadi ya vifo vinavyosababishwa na ajali za barabarani duniani na kubainisha kuwa, watu 3,700 wanaaga dunia kila siku katika ajali hizo.

  • UN yazipongeza pande hasimu Libya kwa kuafikiana kufanyika uchaguzi

    UN yazipongeza pande hasimu Libya kwa kuafikiana kufanyika uchaguzi

    Nov 12, 2020 04:00

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya pande hasimu za kisiasa nchini Libya kukubaliana kuitisha uchaguzi mkuu nchini humo katika kipindi cha miezi 18 ijayo.

  • Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Nov 12, 2020 00:51

    Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicien Kabuga jana Jumatano alifikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ambapo alisisitiza kuwa hana hatia katika mashitaka ya jinai yanayomkabili.

  • Hotuba ya Zarif kwa mnasaba wa miaka 75 ya kuasisiwa UN; kubainisha wasiwasi na matumaini

    Hotuba ya Zarif kwa mnasaba wa miaka 75 ya kuasisiwa UN; kubainisha wasiwasi na matumaini

    Oct 28, 2020 00:51

    Umoja wa Mataifa uliasisiwa miaka 75 iliyopita ukiwa na malengo mawili. Mosi kulinda na kuimarisha amani duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS