-
Katibu Mkuu wa UN apongeza makubaliano ya amani ya DRC na M23
Jul 21, 2025 06:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amekaribisha kwa mikono miwili hatua ya kutiwa saini kwa Azimio la Kanuni kati ya serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kundi la waasi la M23.
-
Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu
Jul 17, 2025 10:49Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametupilia mbali tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na Marekani dhidi ya Iran kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu akisema "hazina msingi wowote" na akalaani ushiriki wa kijeshi wa Washington katika hujuma dhidi ya Yemen.
-
Unajua kwa nini Marekani imemuwekea vikwazo Ripota Maalumu wa UN kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu?
Jul 11, 2025 02:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alitangaza Jumatano, Julai 9, kwamba atamuwekea vikwazo Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, kwa kile alichokiita "juhudi zisizo halali zinazohusiana na uchunguzi wake kuhusu vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza" na eti kwa kuchukua "hatua dhidi ya maafisa wa Marekani na Israel."
-
Umoja wa Mataifa 'washtushwa' na mauaji ya waandamanaji Kenya
Jul 08, 2025 14:20Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa juu ya vifo vya watu zaidi ya 10 nchini Kenya, ambapo polisi na waandamanaji walikabiliana wakati wa maandamano ya kupinga sera za serikali ya nchi hiyo Jumatatu.
-
WFP yadondosha misaada Sudan Kusini kutokea angani kutokana na mapigano
Jul 07, 2025 16:38Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, (WFP) limeanza kudondosha misaada ya dharura ya chakula kwa njia ya anga kwa maelfu ya familia katika Jimbo la Upper Nile nchini Sudan Kusini, ambako mapigano yaliyopamba moto tangu mwezi Machi mwaka huu yamewafanya watu walazimike kuhama makazi yao na kukaribia kuzitumbukiza baadhi ya jamii kwenye njaa ya kupindukia.
-
Araqchi akosoa kimya cha Baraza la Usalama kuhusu mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran
Jul 01, 2025 12:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kimya cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
UN: Israel iruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo
Jul 01, 2025 12:28Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Israel inapasa kurahisisha na kuruhusu kuingia Gaza mahitaji ya dharura kwa ajili ya watu wa eneo hilo kupitia vivuko vilivyopo ili misaada ya haraka iwafikie wakazi wa ukanda huo.
-
Je, kwa nini Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa halikulaani Israel?
Jun 16, 2025 07:21Kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika kwa ombi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel dhidi ya Iran, kwa mara nyingine tena kimefichua siasa za kundumakuwili za kimataifa na mapungufu makubwa yaliyoko katika muundo wa Baraza la Usalama.
-
Kamisheni ya UN: Israel inafanya mauaji ya kimbari Gaza
Jun 11, 2025 07:19Tume huru ya Umoja wa Mataifa imeutuhumu utawala wa Israel kwa kufanya mauaji ya halaiki kwa kuwashambulia raia wa Kipalestina wanaohifadhiwa katika shule na maeneo ya kidini huko Gaza.
-
UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC
Jun 07, 2025 06:59Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk amesema "amesikitishwa sana" na vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).