-
Umoja wa Mataifa walaani kukandamizwa wanaharakati wa haki za binadamu katika nchi 38 duniani
Sep 13, 2018 03:08Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vitendo vya ulipizaji kisasi na vitisho dhidi ya wanaharakati wa masuala ya kutetea haki za binadamu katika nchi 38 duniani na kuvitaja kuwa ni fedheha kubwa.
-
UN yataka kushughulikiwa jinai za serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Sep 10, 2018 10:12Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuanzishwa chombo cha kufuatilia jinai zinazofanywa na serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
-
Bachelet aitaka Misri kutengua hukumu ya vifo dhidi ya wafuasi wa Ikhwanul Muslimin
Sep 09, 2018 11:37Bi Michelle Bachelet Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa leo Jumapili ameitolea mwito mahakama ya rufaa ya Misri kutengua hukumu za vifo zilizotolewa na mahakama moja nchini humo dhidi ya viongozi na wafuasi wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
-
Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (62)
Sep 09, 2018 06:42Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 62.
-
Jumamosi, 8 Septemba, 2018
Sep 07, 2018 20:54Leo ni Jumamosi tarehe 27 Mfunguo Tatu Dhulhija 1439 Hijria sawa na tarehe 8 Septemba 2018 Miladia.
-
Nchi za dunia zinapaswa kushirikiana na Iran katika kukabiliana na mihadarati
Sep 04, 2018 22:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inasema nchi zote ambazo zinafaidika na jitihada zake za kupambana na mihadarati zinapaswa kuisaidia kiufundi na kifedha.
-
UN: Hali ya raia CAR inatia wasiwasi
Sep 04, 2018 02:19Ofisi ya huduma za misada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeripoti kuwa hali ya wakazi wa mji wa Alindao huko kusini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati ni mbaya sana kutokana na mapigano yanayoendelea baina ya makundi ya waasi katika eneo hilo.
-
Russia yaikabidhi UN ushahidi kuwa Wamagharibi wanafanya njama za kuishambulia tena Syria
Sep 01, 2018 02:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi yake imeukabidhi Umoja wa Mataifa ushahidi unaothibitisha kuwa nchi za Magharibi zinafanya njama za kuishambulia tena Syria kwa madai ya uongo ya matumizi ya silaha za kemikali hata kabla ya kutumika silaha hizo.
-
Ansarullah ya Yemen yautaka Umoja wa Mataifa uwe huru katika kukabiliana na wavamizi
Aug 29, 2018 23:00Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amekosoa utendaji wa Umoja wa Mataifa na kuitaka taasisi hiyo ya kimataifa iwe huru katika kuchukua maamuzi ya kukabiliana na hatua za kivamizi za Saudi Arabia nchini humo.
-
Qatar yakerwa na jinai za kivita zinazotendwa na Saudia nchini Yemen
Aug 29, 2018 10:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amekosoa ripoti ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai za kivita zinazotendwa na Saudia na Imarati nchini Yemen.