Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    May 20, 2021 23:07

    Kamishna wa Mambo ya Ndani katika Umoja wa Ulaya (EU) Ylva Johansson, amesema umoja huo unashauriana na Tunisia na Libya ili kufikia mapatano yatakayowezesha kuzuia wahajiri wasielekee barani ya Ulaya.

  • Maafa makubwa ya kibinadamu yanalijongelea eneo la Tigray, Ethiopia

    Maafa makubwa ya kibinadamu yanalijongelea eneo la Tigray, Ethiopia

    May 15, 2021 02:33

    Umoja wa Ulaya umelaani msimamo wa serikali ya Ethiopia wa kuendelea kufunga njia za kufikishwa misaada ya kibinadamu katika eneo lililoharibiwa na vita la Tigray, la kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Mzozo mkubwa baina ya Uingereza na Ufaransa, matunda ya awali ya kiusalama ya Brexit

    Mzozo mkubwa baina ya Uingereza na Ufaransa, matunda ya awali ya kiusalama ya Brexit

    May 08, 2021 21:41

    Baada ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit, sasa hivi matunda na matokeo mabaya ya kujitoa huko yameanza kuonekana katika nyuga mbalimbali.

  • EU: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina ni kinyume cha sheria

    EU: Ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina ni kinyume cha sheria

    May 06, 2021 03:49

    Msemaji wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, ujenzi wa vitengoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina ni haramu na unapaswa kusitishwa.

  • Kuongezeka mivutano baina ya Russia na Umoja wa Ulaya

    Kuongezeka mivutano baina ya Russia na Umoja wa Ulaya

    May 02, 2021 04:49

    Mivutano baina ya Russia na Umoja wa Ulaya imeongezeka sana hivi sasa. Kuwekeana vikwazo viongozi wa kisiasa wa pande mbili ni silaha kuu inayotumiwa na pande hizo kuonesha ukubwa wa mivutano hiyo.

  • Ijumaa, 30 Aprili, 2021

    Ijumaa, 30 Aprili, 2021

    Apr 29, 2021 22:39

    Leo ni Ijumaa tarehe 17 Ramadhani 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 30 Aprili mwaka 2021.

  • Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; kwenda sambamba na Washington na Tel Aviv

    Apr 14, 2021 08:18

    Baraza la Umoja wa Ulaya Jumatatu tarehe 12 mwezi huu wa Aprili liliwajumuisha maafisa 8 na taasisi 3 katika ordha ya vikwazo dhidi ya Iran kwa kisingizio cha eti kukiuka haki za binadamu. Aidha baraza hilo limechukua uamuzi wa kurefusha hatua zake dhidi ya Iran hadi tarehe 13 mwezi Aprili mwaka kesho kwa kisingizio cha kile ilichokitaja kuwa ukiukaji wa haki za binzdamu.

  • Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Kikao cha pamoja cha JCPOA; matarajio ya kundi la 4+1 na matumaini ya Iran

    Apr 08, 2021 03:37

    Kikao cha 18 cha Kamisheni ya Pamoja ya JCPOA kilifanyika juzi Jumanne huko Vienna mji mkuu wa Austria kwa kuhudhuriwa na wawakilishi wa kundi la 4+1 na pia Iran. Nchi wanachama wa mapatano ya JCPOA baada ya majadiliano na kuchunguza mapatano hayo zimekubaliana kuendeleza mashauriano katika ngazi ya kitaalamu ili kuiondolea Iran vikwazo.

  • Kansela wa Austria akososa

    Kansela wa Austria akososa "mchezo mchafu" wa EU katika ugavi wa chanjo ya corona

    Mar 31, 2021 02:41

    Kansela Sebastain Kurz wa Austria ameutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa haugawi kwa uadilifu chanjo ya corona na kueleza kwamba nchi yake iko kwenye mazungumzo na Russia ya kununua dozi milioni moja za chanjo iliyotengenezwa na nchi hiyo ya Sputnik V.

  • Guterres: Nchi tajiri ziache ubaguzi na ukiritimba katika ugavi wa chanjo ya corona

    Guterres: Nchi tajiri ziache ubaguzi na ukiritimba katika ugavi wa chanjo ya corona

    Mar 29, 2021 06:39

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya virusi vya corona duniani na kuzitaka nchi tajiri ambazo zinajilimbikizia kiwango kikubwa sana cha chanjo ya corona kutoa baadhi ya chanjo hiyo kwa nchi nyingine za dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS