Oct 19, 2022 13:08
Katika mwendelezo wa uungaji mkono wa nchi za Magharibi kwa machafuko ya hivi karibuni nchini Iran, Umoja wa Ulaya siku ya Jumatatu ulitangaza vikwazo kadhaa dhidi ya Waziri wa Mawasiliano wa Iran, Polisi ya Usalama wa Maadili, Jeshi la Polisi na kitengo cha kupambana na hujuma za intaneti cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, IRGC.