Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • Ripoti ya UNICEF kwa Baraza la Usalama: Hali ya Ukanda wa Gaza ni mbaya mno

    Ripoti ya UNICEF kwa Baraza la Usalama: Hali ya Ukanda wa Gaza ni mbaya mno

    Oct 31, 2023 11:39

    Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF amewasilisha ripoti kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya na isiyo ya kibinadamu ya watoto katika Ukanda wa Gaza, kutokana na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni.

  • UNICEF: Dola milioni 400 zinahitajika ili kutoa msaada kwa watoto milioni 9 wa Sudan

    UNICEF: Dola milioni 400 zinahitajika ili kutoa msaada kwa watoto milioni 9 wa Sudan

    Aug 20, 2023 02:27

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa linahitaji dola milioni 400 ili kutoa msaada kwa watoto milioni 9 kati ya watoto walio katika mazingira magumu zaidi nchini Sudan.

  • UN yashtushwa na ongezeko la utapiamlo miongoni mwa wajawazito Afrika

    UN yashtushwa na ongezeko la utapiamlo miongoni mwa wajawazito Afrika

    Mar 08, 2023 09:47

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu ongezeko la kutisha la kesi za utapiamlo mkali miongoni mwa wanawake wajawazito hususan katika nchi za Afrika.

  • UNICEF: Wanigeria milioni 25 wako katika hatari kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula 2023

    UNICEF: Wanigeria milioni 25 wako katika hatari kubwa ya kutokuwa na uhakika wa chakula 2023

    Jan 17, 2023 07:19

    Takriban Wanigeria milioni 25 wako katika hatari ya kukabiliwa na njaa kati ya mwezi Juni na Agosti mwaka huu ikiwa hatua za haraka hazitachukuliwa.

  • UNICEF: Vita vya Saudia vimeua, kuwafanya vilema watoto 11,000 wa Yemen

    UNICEF: Vita vya Saudia vimeua, kuwafanya vilema watoto 11,000 wa Yemen

    Dec 12, 2022 10:30

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limesema watoto 11,000 wa Kiyemen ama wameuawa au kusababishiwa ulemavu wa daima wa viungo tangu yalipoanza mashambulizi ya muungano vamizi wa kijeshi huko Yemen chini ya uongozi wa Saudi Arabia mwezi Machi 2015.

  • UNICEF: Watoto laki tano wanakabiliwa na hatari ya kifo Somalia kutokana na uhaba wa chakula

    UNICEF: Watoto laki tano wanakabiliwa na hatari ya kifo Somalia kutokana na uhaba wa chakula

    Sep 17, 2022 07:54

    Msemaji wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema katika taarifa kwamba, watoto nusu milioni nchini Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na uhaba wa chakula na utapiamlo.

  • Indhari ya UNICEF: Idadi ya watoto wanaokosa masomo kwa sababu ya majanga imeongezeka sana

    Indhari ya UNICEF: Idadi ya watoto wanaokosa masomo kwa sababu ya majanga imeongezeka sana

    Jun 22, 2022 07:56

    Mfuko wa kimataifa wa Umoja wa Mataifa kuhusu elimu kwenye maeneo yenye dharura na majanga, ECW umetoa ripoti ya kutisha ikidokeza kuwa idadi ya watoto wenye umri wa kwenda shule, ambao wameathirika na majanga na hivyo kuhitaji msaada wa kielimu imeongezeka kutoka milioni 75 mwaka 2016 hadi milioni 222 hii leo.

  • UNICEF: Kwa akali watoto 17 wameuawa nchini Yemen tangu kuanza mwezi huu wa Januari

    UNICEF: Kwa akali watoto 17 wameuawa nchini Yemen tangu kuanza mwezi huu wa Januari

    Jan 23, 2022 12:20

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, kwa akali watoto 17 wameuawa nchini Yemen tangu kuanza mwezi huu wa Januari kufuatia mashambulio ya anga ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • UNICEF: Pande zinazozozana Tigray Ethiopia zimefanya ukandamizaji dhidi ya watoto

    UNICEF: Pande zinazozozana Tigray Ethiopia zimefanya ukandamizaji dhidi ya watoto

    Jan 10, 2022 13:46

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umezituhumu pande zinazopigana katika jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kwamba, zimefanya ukandamizaji mkubwa dhidi ya watoto.

  • UNICEF: Ukiukaji wa haki za watoto umekithiri duniani

    UNICEF: Ukiukaji wa haki za watoto umekithiri duniani

    Jan 01, 2022 03:33

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF limesema mwaka uliomalizika wa 2021 umekuwa wa machungu na ukiukwaji mkubwa wa haki za watoto katika mizozo ya muda mrefu na ile mipya iliyojitokeza katika nchi mbalimbali duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS