Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • UNICEF yataka walimu wapewe kipaumbele katika chanjo ya COVID-19

    UNICEF yataka walimu wapewe kipaumbele katika chanjo ya COVID-19

    Dec 16, 2020 03:02

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto UNICEF limetaka walimu wapewe kipaumbele katika chanjo ya COVID-19 au corona.

  • UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    Sep 23, 2020 01:35

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umezitaka serikali za nchi za mashariki na kusini mwa Afrika kufungua shule haraka iwezekanavyo sambamba na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanakuwa salama wanaporejea shuleni.

  • UNICEF yatahadharisha kuhusu lishe mbaya ya watoto katika kipindi cha corona

    UNICEF yatahadharisha kuhusu lishe mbaya ya watoto katika kipindi cha corona

    Jul 28, 2020 07:25

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kuhusu athari mbaya za maambukizi ya virusi vya corona kwa watoto ikiwa ni pamoja na umaskini na ukosefu wa usalama wa chakula.

  • Unicef: Idadi ya watoto wanaosumbuliwa na utapiamlo imeongeza sana Yemen

    Unicef: Idadi ya watoto wanaosumbuliwa na utapiamlo imeongeza sana Yemen

    Jun 26, 2020 07:15

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, idadi ya watoto wanaosumbuliwa na utapiamlo imeongezeka kwa kiwango kikubwa nchini Yemen.

  • Unicef: Mamilioni ya watoto Asia magharibi watasumbuliwa na umaskini kwa sababu ya corona

    Unicef: Mamilioni ya watoto Asia magharibi watasumbuliwa na umaskini kwa sababu ya corona

    Apr 22, 2020 01:37

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetahadhasriha kuhusu uwezekano wa mamilioni ya watoto katika eneo la Asia magharibi kusumbuliwa na umaskini kutokana na janga la kiuchumi litakalosababishwa na maambukizi ya virusi vya corona.

  • UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    UNICEF: Vita nchini Libya vimekuwa na taathira mbaya mno hasa kwa watoto

    Mar 05, 2020 08:18

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watu wasiopungua 1,800,000 wameathirika vibaya na vita vya ndani nchini humo ambapo 266,000 kati yao ni watoto wadogo.

  • Jumatano tarehe 11 Disemba 2019

    Jumatano tarehe 11 Disemba 2019

    Dec 11, 2019 03:12

    Leo ni Jumatano tarehe 14 Rabiuthani 1441 Hijria sawa na 11 Disemba 2019.

  • Unicef: Mamilioni ya watoto wanasumbuliwa na utapiamlo

    Unicef: Mamilioni ya watoto wanasumbuliwa na utapiamlo

    Oct 17, 2019 01:40

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mamilioni ya watoto duniani wanasumbuliwa na utapiamlo.

  • UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji

    UNICEF: Watoto milioni moja wanakabiliwa na hatari ya kifo nchini Msumbiji

    Sep 18, 2019 07:50

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto milioni moja nchini Msumbiji wanakabiliwa na hatari ya kifo baada ya nchi hiyo kukumbwa na kimbunga.

  • UNICEF: Maisha ya watoto 500,000 wa Kilibya yapo hatarini

    UNICEF: Maisha ya watoto 500,000 wa Kilibya yapo hatarini

    Apr 10, 2019 04:36

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza kuwa, maisha ya watoto 500,000 nchini Libya yapo hatarini kutokana na kuibuka mapigano mapya katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS