Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

UNICEF

  • Unicef: Mwaka 2018 umeshuhudia mauaji ya idadi kubwa zaidi ya watoto wa Syria

    Unicef: Mwaka 2018 umeshuhudia mauaji ya idadi kubwa zaidi ya watoto wa Syria

    Mar 12, 2019 16:15

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, mwaka 2018 ndio uliokuwa na mauaji ya idadi kubwa zaidi ya watoto nchini Syria.

  • Tahadharisho la UNICEF kuhusu mauaji mapya ya watoto nchini Yemen

    Tahadharisho la UNICEF kuhusu mauaji mapya ya watoto nchini Yemen

    Feb 01, 2019 02:48

    Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto ulisema siku ya Jumatano kwamba, watoto elfu sita na 700 wa Yemen wameshauawa tangu Saudi Arabia na kundi lake walipoanzisha mashambulizi ya kila upande nchini humo.

  • UNICEF: Zaidi ya watoto 6,000 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa katika vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    UNICEF: Zaidi ya watoto 6,000 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa katika vita vya Saudi Arabia dhidi ya Yemen

    Jan 31, 2019 07:48

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, watoto 6,700 wa Kiyemen wameuawa au kujeruhiwa tangu Saudi Arabia ilipoanzisha hujuma yake ya kijeshi dhidi ya nchi masikini ya Yemen.

  • UNICEF: Watoto Milioni 41 duniani wanahitaji msaada wa dola bilioni 3.9

    UNICEF: Watoto Milioni 41 duniani wanahitaji msaada wa dola bilioni 3.9

    Jan 30, 2019 01:09

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF limesema linahitaji msaada wa dola bilioni 3.9 ili kuwasaidia watoto milioni 41 walio katika maeneo ya majanga kote duniani.

  •  Unicef  yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto

    Unicef yataja nchi zenye ukosefu mkubwa wa amani kwa watoto

    Jan 06, 2019 14:38

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (Unicef) umetangaza katika ripoti yake kuwa mustakbali wa mamilioni ya watoto wanaoishi katika nchi zilizokumbwa na vita uko hatarini.

  • Siku ya kwanza ya mwaka 2019 yakaribisha watoto laki nne duniani

    Siku ya kwanza ya mwaka 2019 yakaribisha watoto laki nne duniani

    Jan 01, 2019 15:17

    Taarifa iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa, (UNICEF) imesema kuwa watoto laki tatu na 95 elfu wanatarajiwa kuzaliwa leo katika siku ya kwanza ya mwaka mpya wa 2019.

  • Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Nigeria yaitimua UNICEF kwa tuhuma za kuwapa mafunzo majasusi wa Boko Haram

    Dec 15, 2018 07:01

    Jeshi la Nigeria limesimamisha shughuli za Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Kuhudumia Watoto (UNICEF) katika eneo la kaskazini mashariki kwa nchi, kwa tuhuma kuwa maafisa wake wanawapa mafunzo na kushirikiana na majasusi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Hraram.

  • Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Hatima isiyojulikana ya watoto 15,000 wahanga wa machafuko Sudan Kusini

    Dec 13, 2018 15:31

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, kutokana machafuko na mapigano ya miaka mitano huko Sudan Kusini, hatima ya watoto 15,000 haijulikana kutokana na kutoweka au kukutengana na wazazi wao.

  • UNICEF: Watoto milioni nane Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni

    UNICEF: Watoto milioni nane Yemen wanakabiliwa na hali mbaya ya lishe duni

    Dec 06, 2018 13:49

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetahadharisha kwamba, watoto zaidi ya milioni nane nchini Yemen wanataabika kutokana na hali mbaya ya lishe duni.

  • Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Unicef: Watoto milioni 1.5 wa CAR wanahitaji msaada wa dharura

    Dec 01, 2018 02:46

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa Unicef umesema thuluthi mbili ya watoto wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wapo katika hatari ya kupoteza maisha iwapo hawatafikishiwa msaada wa dharura haraka iwezekenavyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS