-
Jumatatu tarehe 17 Februari 2020
Feb 17, 2020 02:47Leo ni Jumatatu tarehe 22 Jamadithani 1441 Hijria sawa na 17 Februari 2020.
-
Al-Wifaq: Ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaendelea kufanyika katika magereza ya Bahrain
Dec 18, 2019 08:02Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al Wifaq ya Bahrain imetangaza katika ripoti yake kwamba, utawala wa kifamilia wa nchi hiyo wa Aal Khalifa unaendelea kukiuka pakubwa haki za wafungwa katika magereza ya nchi hiyo.
-
Jumuiya ya Al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kuwa jela kubwa
Nov 15, 2019 07:58Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) imetangaza kuwa, hatua za utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa zimeigeuza Bahrain na kuwa jela kubwa.
-
Al Wefaq: Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu zimechochea kutolewa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi Ali Salman
Nov 06, 2019 03:06Jumuiya ya Ali Salman ya nchini Bahrain imesema kuwa, Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu zimehusika katika kutolewa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo.
-
Mwanaharakati wa Bahrain afichua vitendo vya kinyama alivyofanyiwa ikiwa ni pamoja na kubakwa
Oct 28, 2019 13:16Najah Yusuf, mwanaharakati wa kisiasa wa nchini Bahrain amefichua vitendo vya kinyama na ukatili aliofanyiwa ikiwa ni pamoja na kubakwa na maafisa wa polisi wa utawala wa Aal Khalifa wakati alipokuwa akishikiliwa gerezani.
-
Jumuiya ya Al-Wifaq Bahrain yatoa wito wa maandamano ya kulaani jinai za utawala wa Aal Khalifa
Jul 27, 2019 13:55Jumuiya ya kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq, imetoa wito kwa wananchi kufanya maandamano ya kulaani na kulalamikia jinai ya utawala wa Aal Khalifa wa kuwanyonga vijana wawili kwa tuhuma hewa.
-
Utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain waidhinisha kuwafutia uraia raia 46 wa nchi hiyo
Jul 01, 2019 07:56Mahakama ya Rufaa ya Bahrain jana ilitoa hukumu ya kuwafutia uraia raia 46 wa nchi hiyo.
-
Maandamano ya kupinga serikali yaendelea Bahrain, wanajeshi washambulia kinyama wafungwa
Apr 13, 2019 13:36Maandamano ya wananchi wa Bahrain ya kupinga utawala wa kiukoo na kupigania kuwa na utawala wa wananchi yanaendelea huku utawala wa kidikteta wa ukoo wa Aal Khalifa nao ukiendelea kukandamiza raia.
-
Taarifa ya makundi ya wanaharakati wa Bahrain ya kulaani uwepo wa wanajeshi ghasibu wa Saudi Arabia na Imarati nchini mwao
Mar 16, 2019 11:55Muungano wa Vijana wa Februari 14 na Harakati ya Kitaifa ya Kiislamu ya al Wifaq za nchini Bahrain zimelaani uwepo wa wanajeshi vamizi wa Saudi Arabia na Imarati nchini humo na kusisitizia haja ya kuendelezwa muqawama na kusima kidete kwa ajili ya kuhakikisha Wabahrain wenyewe ndio wanaojiamulia mustakbali wao.
-
Mahakama ya utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain yaidhinisha adhabu kali dhidi ya raia kadhaa
Mar 05, 2019 07:59Mahakama ya rufaa ya Bahrain imeidhinisha hukumu ya kifungo cha maisha jela na adhabu nyingine za vifungo vya muda mrefu kwa raia kadhaa wa nchi hiyo.