Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Khalifa

  • Kuanza mwaka wa tisa wa mwamko wa kimapinduzi wa watu wa Bahrain

    Kuanza mwaka wa tisa wa mwamko wa kimapinduzi wa watu wa Bahrain

    Feb 15, 2019 02:49

    Februari 14 mwaka 2019, umetimiza mwaka wa nane tokea uanze mwamko wa kimapinduzi wa watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa. Mapinduzi ya watu wa Bahrain dhidi ya utawala wa kifalme wa Aal Khalifa ambayo ni maarufu kama "Mapinduzi ya Lulu" yalianza Februari 14 mwaka 2011.

  • Harakati ya Al-Wifaq: Utawala wa Bahrain na Israel zina maslahi ya pamoja

    Harakati ya Al-Wifaq: Utawala wa Bahrain na Israel zina maslahi ya pamoja

    Feb 14, 2019 08:09

    Harakati ya Al-Wifaq nchini Bahrain imetangaza kuwa, utawala wa kifamilia wa nchi hiyo wa Aal-Khalifa na utawala haramu wa Israel zina maslahi na manufaa ya pamoja.

  • Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Feb 13, 2019 02:32

    Kamati ya Kimatiafa ya Haki za Binadamu Eneo la Asia Magharibi imesema hali ya haki za binadamu inazidi kuwa mbaya nchini Bahrain ambapo ukoo wa Aal Khalifa ambao unatawala nchi hiyo umehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

  • Mahakama ya utawala wa Bahrain yaidhinisha kifungo cha maisha jela kwa Sheikh Ali Salman

    Mahakama ya utawala wa Bahrain yaidhinisha kifungo cha maisha jela kwa Sheikh Ali Salman

    Jan 28, 2019 14:04

    Mahakama Kuu ya utawala wa Aal Khalifa imemhukumu kifungo cha maisha jela Sheikh Ali Salman Katibu Mkuu wa Jumuiya ya al Wifaq ya nchi hiyo. Jumuiya hiyo inatambulika kama chama kikuu kinachoupinga utawala wa Manama.

  • Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain

    Jan 21, 2019 01:32

    Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.

  • Kongamano la kulaani jinai za serikali ya Bahrain lafanyika Beirut

    Kongamano la kulaani jinai za serikali ya Bahrain lafanyika Beirut

    Jan 17, 2019 07:44

    Washiriki wa Kongamano la Kimataifa la kulaani jinai za utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain wamekosoa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa serikali ya Manama kwa raia wake.

  • Ripoti: Wafungwa wa kisiasa Bahrain wana hali mbaya

    Ripoti: Wafungwa wa kisiasa Bahrain wana hali mbaya

    Jan 10, 2019 07:14

    Kituo cha Haki za Binadamu na Demokrasia nchini Bahrain kimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa nchini humo.

  • Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Dec 08, 2018 07:57

    Baada ya kufanyika uchaguzi wa kimaonyesho wa bunge nchini Bahrain, Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa amemkabidhi tena jukumu la kuunda serikali mpya, mtu yule yule ambaye anajulikana kuwa waziri mkuu pekee katika historia ya nchi hiyo.

  • Utawala wa Aal Khalifa Bahrain washindwa kuhalalisha mamlaka yake

    Utawala wa Aal Khalifa Bahrain washindwa kuhalalisha mamlaka yake

    Dec 06, 2018 08:00

    Mkuu wa Jumuiya ya Haki za Binadamu na Demokrasia ya Bahrain amesema kuwa, jitihada za utawala wa Aal Khalifa za kuuhalalisha utawala huo kupitia ushiriki wa wananchi kwenye uchaguzi zimegonga mwamba.

  • Al Wifaq: Duru ya pili ya uchaguzi imeonyesha ukubwa wa mgogoro wa kisiasa ulioikumba Bahrain

    Al Wifaq: Duru ya pili ya uchaguzi imeonyesha ukubwa wa mgogoro wa kisiasa ulioikumba Bahrain

    Dec 02, 2018 14:51

    Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Bahrain ya al Wifaq amesisitiza kuwa kufanyika duru ya pili ya uchaguzi wa bunge nchini humo si tu kuwa kumeonyesha kiwango cha matatizo ya kisiasa yaliyoisibu nchi hiyo lakini pia umedhihirisha namna uchaguzi huo ulivyokuwa wa kichekesho na kimaonyesho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS