-
Jihadul-Islami yatoa wito Wapalestina wote wazatitiwe kwa silaha kujibu mapigo kwa wazayuni
Mar 29, 2023 03:40Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imewasilisha kwa wawakilishi wa makundi mengine ya mapambano ya Palestina mpango wa kuwapa silaha Wapalestina wote ili kukabiliana na mpango wa Itamar Ben Guer, waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Israel kuhusu kuwapatia silaha walowezi wa Kizayuni.
-
Kanaani: Hasira za Netanyahu na Sunak kuhusu mabadiliko ya Asia Magharibi sio jambo ajabu
Mar 25, 2023 09:47Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuuri ya Kiislamu ya Iran, amejibu matamshi yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu na mwenzake wa Uingereza, Rishi Sunak dhidi ya Iran ya Kiislamu katika mkutano wao hapo jana na kueleza kwamba, si jambo la kushangazwa kutolewa matamshi kama hayo na mawaziri hao.
-
Uamuzi madhubuti wa bunge la Jordan wa kumfukuza balozi wa Israel.
Mar 24, 2023 03:45Mvutano umeibuka katika uhusiano wa Amman na Tel Aviv kufuatia uamuzi imara wa Bunge la Jordan wa kumfukuza balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo.
-
Ubaguzi wa rangi wa baraza la mawaziri la Netanyahu na hasira ya serikali ya Jordan
Mar 23, 2023 22:50Matamshi ya karibuni ya mmoja wa mawaziri wa baraza lenye misimamo ya kupindukia mipaka la Benhamini Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel yameikasirisha serikali ya Jordan. Misimamo mikali na ya ubaguzi wa rangi ya baraza hilo hadi sasa imeugharimu pakubwa utawala huo kieneo na kimataifa.
-
Kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kusini mwa Quds Tukufu
Mar 23, 2023 04:33Meya wa mji mtakatifu wa Quds ametoa idhini ya kujengwa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika mji huo, jambo ambalo linaenda kinyume na maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Bunge la Jordan lapasisha pendekezo la kutimuliwa balozi wa Israel mjini Amman
Mar 22, 2023 09:04Wawakilishi wa Bunge la Jordan wamepigia kura ya ndio pendekezo la kufukuzwa balozi wa utawala haramu wa Israel huko Amman wakilalamikia na kupinga hatua ya waziri wa fedha katika serikali ya mrengo wa kulia ya Israel, ambaye alizua utata mapema wiki hii.
-
Palestina yaiomba mahakama ya ICC kumkamata Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni
Mar 21, 2023 03:01Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa hati ya kukamatwa Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na matamshi yake dhidi ya Palestina.
-
Netanyahu ataka waandamanaji wakandamizwe na jeshi linalokaidi amri zake lichukuliwe hatua
Mar 20, 2023 22:57Duru za lugha ya Kiibrania zimetangaza kuwa, Benjamini Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ametoa wito wa kukandamizwa uasi wa jeshi la utawala huo haramu na kuchukuliwa hatua kali na thabiti zaidi dhidi ya waandamanaji wanaopinga serikali yake.
-
Ombi la OIC la kutaka Palestina ikubaliwe kuwa mwanachama kamili na rasmi wa Umoja wa Mataifa
Mar 20, 2023 06:59Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imetaka yatolewe mashinikizo ili kuhakikisha Palestina inakubaliwa kuwa mwanachama rasmi wa Umoja wa Mataifa.
-
Vikosi maalumu vya Israel: Hatutahudumu katika jeshi kuanzia Jumapili
Mar 17, 2023 03:24Maafisa 100 wa Kikosi cha Akiba cha Oparesheni Maalumu cha utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza kuwa, hawatahudumu jeshini kuanzia Jumapili ijayo wakilalamikia uamuzi wa serikali ya utawala huo wa kubadili muundo wa sheria za mahakama.