-
Mauritania yakanusha kiuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni
Mar 15, 2023 07:36Serikali ya Mauritania imekanusha madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa inafanya nao mashauriano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia.
-
Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo
Mar 13, 2023 22:38Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amesisitiza namna hitilafu na migawanyiko inayoikabili Israel sasa inavyodhihirisha kwa walimwengu kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo ghasibu na kueleza kuwa muqawama wa Palestina unaweza kustafidi na fursa ya mfarakano huu unaoukabili utawala wa Kizayuni.
-
Rais wa Palestina: Walimwengu chukueni hatua za kuzuia ugaidi wa Israel
Mar 07, 2023 22:53Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka jamii ya kimataifa kukomesha ugaidi wa Israel na kufanya juhudi za kuhitimisha uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu unaofanywa na utawala huo wa Kizayuni.
-
Waziri mwenye itikadi kali wa Israel aamuru kubomolewa nyumba za Wapalestina mwezi wa Ramadhani
Mar 06, 2023 23:04Waziri mwenye misimamo ya kupindukia mipaka wa usalama wa ndani wa utawala wa haramu wa Israel ametoa amri ya kuharibiwa nyumba za wananchi wa Palestina katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Walowezi wa Kizayuni waendeleza vitendo vya kuuvamia msikiti wa al-Aqswa
Mar 06, 2023 04:04Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.
-
Iran yauonya utawala wa Kizayuni kwa bwabwaja zake, yasema umekiuka sheria za kimataifa
Mar 03, 2023 23:26Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, Amir Saeid Iravani, amesema bwabwaja za hivi karibuni za maafisa wa Israel ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Ombi la Umoja wa Afrika la kukatwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Feb 25, 2023 08:38Nchi 55 wanachama wa Umoja wa Afrika zimetoa wito wa kuvunjwa uhusiano wao na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaja utawala huo kuwa ni dola la kikoloni.
-
Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami: Damu ya Mashahidi itailetea ushindi Palestina
Feb 25, 2023 03:39Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amepongeza mchango wa kijihadi wa Mashahidi wa ardhi hiyo katika kukabiliana na adui Mzayuni na akasema, damu za Mashahidi hao ndizo zitakazoiletea ushindi Palestina.
-
Wataalamu: Netanyahu 'hana ubavu' wa kukabiliana na wanamapambano wa Palestina
Feb 23, 2023 06:38Wataalamu mbalimbali wa kijeshi wa Israel wametoa maneno makali ya kumlaumu waziri mkuu mwenye misimamo ya kufurutu ada, Benjamin Netanyahu na kusema kuwa, hana uwezo wa kukabiliana na mashambulio ya makombora ya wanamapambano wa Palestina.
-
Nchi za Kiarabu zalaani mashambulizi ya wanajeshi wa Kizayuni huko Nablus
Feb 23, 2023 02:45Baadhi ya nchi za Kiarabu zimelaani jinai mpya iliyotekelezwa na Maghasibu wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika mji wa Nablus.