Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Al Wifaq: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ni muovu zaidi kuliko Wazayuni

    Al Wifaq: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ni muovu zaidi kuliko Wazayuni

    Aug 28, 2019 06:31

    Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) imesema kuwa msimamo wa Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Aal Khalifa wa kutetea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni Israel dhidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu ni muovu na usio wa kuwajibika.

  • Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake

    Msemaji wa serikali ya Iran: Utawala wa Kizayuni wa Israel ukubali taathira mbaya za uchokozi wake

    Aug 26, 2019 07:31

    Msemaji wa Serikali ya Iran amelaani mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika nchi za Lebanon, Iraq na Syria na kusema kuwa, utawala huo unapaswa ukubali taathira mbaya za uchokozi huo.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Aug 25, 2019 08:01

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.

  • Al Maliki: Iraq itatoa jibu kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Al Maliki: Iraq itatoa jibu kali kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 24, 2019 02:28

    Makamu wa Rais wa Iraq Nouri al Maliki ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Daawa cha Iraq ametoa onyo kali na kusema kuwa, Iraq itatoa jibu kali iwapo itabainika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umehusika katika shambulizi la angani dhidi ya kituo cha jeshi la kujitolea la wananchi nchini humo maarufu kama Al Hashd al Shaabi.

  • Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon

    Ndege za kivita za Israel zakiuka anga ya Lebanon

    Aug 20, 2019 08:50

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeingia kinyume cha sheria katika anga ya Lebanon hatua ambayo inakiuka azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Sanders: Misaada ya Marekani kwa Israel ikatwe kama haiwaruhusu wabunge Waislamu wa Kungresi kutembelea Quds

    Sanders: Misaada ya Marekani kwa Israel ikatwe kama haiwaruhusu wabunge Waislamu wa Kungresi kutembelea Quds

    Aug 18, 2019 06:56

    Seneta wa Marekani anayetarajiwa kuwania nafasi ya kugombea kiti cha rais katika uchaguzi ujao nchini humo hapo mwakani amesema kama Israel itaendelea kuwazuia wabunge wawili Waislamu wa Kongresi kuingia katika utawala huo na kutembelea Quds, haipaswi kupewa tena misaada ya Marekani.

  • Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Hamas: Lengo la Israel la kuishambulia Ghaza ni kupotosha fikra za waliowengi

    Aug 17, 2019 03:32

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, lengo la utawala wa Kizayuni la kutekeleza mashambulizi dhidi ya Ghaza ni kutaka kupotosha fikra za waliowengi kuhusu oparesheni za muqawama zilizofanywa hivi karibuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jumamosi, 17 Agosti, 2019

    Jumamosi, 17 Agosti, 2019

    Aug 16, 2019 23:13

    Leo ni Jumamosi tarehe 15 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1440 Hijria sawa na tarehe 17 Agosti mwaka 2019 Miladia.

  • Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni

    Rais Rouhani: Kudhamini usalama wa Ghuba ya Uajemi hakuhitajii vikosi vya kigeni

    Aug 14, 2019 08:21

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, ili kudhamini usalama na utulivu katika Ghuba ya Uajemi hakuna haja ya kuweko vikosi vya kieneo katika eneo hilo.

  • Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Arab League yaonyesha msimamo legevu kuhusiana na jinai ya Wazayuni ya kuuvamia msikiti wa Al Aqsa

    Aug 12, 2019 10:23

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeonyesha msimamo legevu na dhaifu kwa uvamizi uliofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni dhidi ya msikiti mtukufu wa Al Aqsa wakati wa Sala ya Idul-Adh'ha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS