Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Mpango wa Trump kwa ajili ya Gaza; njama za kuifuta Palestina

    Feb 12, 2025 06:40

    Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria upinzani mkubwa wa nchi za eneo na kimataifa dhidi ya mpango haramu wa Rais wa Marekani kuhusu Gaza na kueleza kwamba, mpango huo wa kuwahamisha kwa nguvu watu wa Palestina kutoka Gaza kwa mujibu wa mpango wa kikoloni wa "kuifuta Palestina".

  • Duru ya Kizayuni: Netanyahu anajaribu kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza

    Duru ya Kizayuni: Netanyahu anajaribu kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza

    Feb 10, 2025 02:42

    Chombo kimoja cha bahari cha lugha ya Kiibrania kimetangaza kuwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anafanya kila awezalo kuvuruga makubaliano ya kusimamisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Wakimbizi wa Palestina waendelea kutumia eneo la Netzarim baada ya Israel kuondoka kikamilifu

    Wakimbizi wa Palestina waendelea kutumia eneo la Netzarim baada ya Israel kuondoka kikamilifu

    Feb 09, 2025 10:41

    Vyombo mbalimbali vya habari vimetangaza kuwa, baada ya wanajeshi wa Israel kutoka kwenye eneo la Netzarim huko Ghaza kama yalivyosema makubaliano ya kusimamisha vita, hivi sasa wakimbizi wa Palestina wanaendelea kuvuka eneo hilo na kurejea kwenye maeneo yao.

  • Saudia yajibu kwa kauli kali matamshi ya kijuba ya Netanyahu kuhusu Palestina

    Saudia yajibu kwa kauli kali matamshi ya kijuba ya Netanyahu kuhusu Palestina

    Feb 09, 2025 10:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imepongeza upinzani wa kimataifa dhidi ya matamshi ya kijuba ya waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuhusiana na Ukanda wa Ghaza na imepinga hatua yoyote ya kuhamishwa Wapalestina kutoka kwenye ardhi zao.

  • Dunia yaalani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC/ Netanyahu ashukuru

    Dunia yaalani vikwazo vya Marekani dhidi ya mahakama ya ICC/ Netanyahu ashukuru

    Feb 08, 2025 07:58

    Nchi 79 duniani zimelaani vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya mjini The Hague, Uholanzi.

  • HAMAS, Jihadul-Islami, Wabunge wa US wapinga na kulaani matamshi ya Trump ya kuipora Ghaza

    HAMAS, Jihadul-Islami, Wabunge wa US wapinga na kulaani matamshi ya Trump ya kuipora Ghaza

    Feb 05, 2025 06:26

    Matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba nchi hiyo itawahamisha Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza na kulitwaa na kulimiliki eneo hilo la Palestina yamelaaniwa na kukosolewa vikali ndani na nje ya Marekani.

  • HAMAS yapongeza operesheni ya Ukingo wa Magharibi iliyoangamiza na kujeruhi askari kadhaa wa Israel

    HAMAS yapongeza operesheni ya Ukingo wa Magharibi iliyoangamiza na kujeruhi askari kadhaa wa Israel

    Feb 04, 2025 11:13

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza operesheni ya kulipiza kisasi iliyotekelezwa dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ambako utawala huo ghasibu umeshadidisha hujuma na mashambulizi yake.

  • Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump

    Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump

    Feb 04, 2025 09:10

    Kwa kuanza muhula wa pili wa urais wa Donald Trump, pamoja na vitisho na hatua za serikali yake dhidi ya waungaji mkono wa Palestina, mashinikizo dhidi ya watu hao na harakati za ndani ya nchi hiyo pia zimeongezeka kwa kiasi kikubwa.

  • Maelezo mapya ya Israel kuhusu kushindwa

    Maelezo mapya ya Israel kuhusu kushindwa "Kuba la Chuma" katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa

    Feb 04, 2025 02:49

    Jeshi la Israel limetoa maelezo mapya kuhusu kushindwa kwa mfumo wake wa ulinzi wa anga unaojulikana kama "Iron Dome" katika operesheni ya wanamuqawama wa Palestina ya kimbunga ya Al-Aqsa.

  • HAMAS yalaani mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni Jenin, Ukingo wa Magharibi

    HAMAS yalaani mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni Jenin, Ukingo wa Magharibi

    Feb 03, 2025 07:00

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS