Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds

    Jun 30, 2016 22:14

    Taifa la Iran na mataifa mengine ya Waislamu leo Ijumaa sambamba na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, yatapaza tena sauti ya kupigania ukombozi wa Quds tukufu na kutangaza hasira zao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya siku hii.

  • UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    UN: Israel inafanya ukatili dhidi ya watoto wa Palestina

    Jun 25, 2016 08:22

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina.

  • Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Wazayuni wazidi kuwateka nyara wanawake na wasichana wa Kipalestina

    Jun 13, 2016 10:22

    Tangu ilipoanza Intifadha ya Quds mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015 hadi hivi sasa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawateka nyara makumi ya wanawake na washichana wa Kipalestina.

  • HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    Jun 08, 2016 23:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina

    Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina

    Jun 05, 2016 10:56

    Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni

    Jun 01, 2016 10:58

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.

  • Kuongezeka malalamiko ya kimataifa dhidi ya Israel

    Kuongezeka malalamiko ya kimataifa dhidi ya Israel

    May 31, 2016 22:41

    Taasisi 16 za kimataifa kote ulimwenguni zimeandika barua zikilaani kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumpiga marufuku ya kusafiri, Omar Barghouthi, mwasisi wa Harakati ya Kimataifa ya Kuisusia Israel BDS.

  • Jumanne, Mei 24, 2016

    Jumanne, Mei 24, 2016

    May 23, 2016 23:21

    Leo ni Jumanne 17 Shaaban mwaka 1437 Hijria mwafaka na tarehe 24 Mei mwaka 2016 Miladia.

  • Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    May 10, 2016 23:47

    Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.

  • Mwanamke atolewa akiwa hai katika vifusi baada ya kupita siku sita Nairobi

    Mwanamke atolewa akiwa hai katika vifusi baada ya kupita siku sita Nairobi

    May 05, 2016 10:00

    Mwanamke mmoja ametolewa akiwa hai leo baada ya kupita siku sita tangu jengo moja kuporomoka katika mtaa wa Huruma mjini Nairobi Kenya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS