-
UN yatiwa wasiwasi na hali ya kiafya na kimatibabu ya Ukanda wa Gaza
Jan 03, 2025 12:04Wataalamu hao wa Umoja wa Mataifa wataka kukomeshwa upuuaji wa waziwazi' haki ya haki ya kiafya huko Gaza baada ya utawala wa Kizayuni wiki iliyopita kuishambulia Hospitali ya Kamal Adwan katika eneo hilo na kumtia nguvuni kihilela na kumuweka kizuizini Mkurugenzi wa hospitali hiyo Dakta Hussam Abu Safiya.
-
Watoto wachanga wapatao 1,100 wameuliwa katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza
Jan 02, 2025 06:49Watoto wachanga Wapalestina wapatao 1,100 wameuawa katika mashambulio ya kinyama ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel tangu Oktoba 2023.
-
Wanajeshi wa Israel waendelea kupokea vipigo kutoka kwa wanamapambano wa Palestina
Dec 31, 2024 02:51Kundi la Saraya al-Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihad al Islami ya Palestina, limetangaza kwamba limefanikiwa kutoa kipigo kipya na kikali mno kwa wanajeshi makatili na vamizi wa Israel huko Ghaza.
-
Wafanyakazi wa BBC wafichua mhariri wao alivyochangia 'kusafisha' jinai za kivita za Israel Ghaza
Dec 30, 2024 03:45Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC wamefichua kuwa mhariri wao Raffi Berg ana udhibiti kamili wa ripoti zinazotolewa mitandaoni na shirika hilo kuhusu vita vya mauaji ya kimbari ya Israel huko Ghaza, na kuhakikisha kuwa habari zote zinazotolewa zinaipendelea Israel. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa na tovuti ya habari ya Drop Site News.
-
Mcheza chess wa Iran akataa kushindana na mpinzani wa Israel akiwaunga mkono Wapalestina
Dec 30, 2024 03:45Katika kuwaunga mkono watu wa Palestina, mchezaji wa chess wa Iran amekataa kushindana na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya World Rapid Chess Championship 2024 huko New York.
-
Jinai za Israel zinaendelea: Wapalestina wengine 15 wauawa shahidi
Dec 27, 2024 11:08Wapalestina wengine 15 wameuawa shahidi katika jinai ya hivi punde ya jeshi la utawala wa Kizayuni katika ukanda wa Gaza.
-
New York Times: Jeshi la Israel liliidhinisha kuuliwa raia mpaka 100 Ghaza ili kumpata mshukiwa mmoja wa Hamas
Dec 27, 2024 07:43Uchunguzi uliofanywa na gazeti la New York Times la Marekani unaonyesha kuwa, jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel lililegeza kwa kiwango kikubwa sheria zake za kivita katika miezi ya mwanzo ya vita vyake dhidi ya Ghaza, na kusababisha vifo vingi vya raia.
-
Iraq yafukua mabaki ya miili 100 ya Wakurdi wanawake na watoto waliouliwa na Saddam
Dec 27, 2024 07:25Mamlaka ya Iraq imeanza kufukua mabaki ya miili ya wanawake na watoto wapatao 100 wa Kikurdi walioripotiwa kuuliwa na utawala wa Saddam Hussein katika miaka ya 1980.
-
Polisi ya Kenya 'yasutwa' kwa kudai hakuna Wakenya waliotekwa nyara
Dec 27, 2024 07:24Tume ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Kenya (KNCHR) imekanusha ripoti ya Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja kwamba hakuna Wakenya waliotekwa nyara nchini humo ikisema, katika mwezi huu wa Desemba pekee, watu saba hasa watumiaji wa mitandao ya kijamii wametekwa nyara; na kufikia sasa, sita hawajulikani waliko.
-
Licha ya hujuma za kinyama za Israel Sana'a na Hudaydah, kombora jengine la Yemen lapiga Tel Aviv
Dec 27, 2024 03:38Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kuwa ving'ora vya tahadhari ya mashambulio ya anga vimesikika katika sehemu kubwa ya maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu yaliyopachikwa jina bandia la Israel kufuatia shambulio la kombora lililorushwa kutoka Yemen mapema leo.