-
Hamas: Mashambulizi ya Israel hayatavuruga azma ya Yemen
Dec 19, 2024 11:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani mashambulizi ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Yemen na kutangaza kuwa, jinai hizo hazitazuia kuendelea uungaji mkono wa Sana'a kwa wananchi wa Palestina.
-
Mgogoro wa uraibu wa dawa za kulevya na pombe wawazonga vijana wa Israel
Dec 17, 2024 11:17Uraibu wa pombe, dawa za kulevya na kutoroka shule ni sehemu ndogo tu ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuwaandamana vijana wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika siku za hivi karibuni, hususan baada ya operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa na kuanza vita vya Ghaza.
-
Kiongozi wa Tahrir al-Sham: Hatutaruhusu Syria itumike kufanyia mashambulio dhidi ya Israel
Dec 17, 2024 06:05Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Hay'at Tahrir al-Sham (HTS), ambalo liliiondoa madarakani serikali ya Syria mapema mwezi huu huku kukiwa na taarifa zilizoenea za kuungwa mkono kundi hilo na mataifa ya Magharibi na Israel, amesema hataruhusu ardhi ya Syria itumike kufanyia mashambulizi dhidi ya Israel.
-
Jumanne, 17 Disemba, 2024
Dec 17, 2024 02:38Leo ni Jumanne tarehe 15 Mfunguo Tisa Jamadithani 1446 Hijria mwafaka na tarehe 17 Disemba 2024.
-
Ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani na Uingereza
Dec 16, 2024 06:52Kwa mujibu wa ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa Marekani na Uingereza, ripoti ambayo imeandaliwa kwa kutelekeza mswada uliopitishwa na Bunge la Iran mwaka 1391 Hijria Shamsia,
-
Radiamali ya kwanza ya Syria kwa mashambulizi ya Israel baada ya kuanguka serikali ya Assad
Dec 15, 2024 11:38Hatimaye watawala wapya wa Syria wametoa radiamali dhidi ya jinai za utawala haramu wa Israel baada ya mashambulizi ya mara kwa mara na mfululizo ya Tel Aviv dhidi ya umoja wa ardhi ya nchi hiyo na pia kukaliwa kwa mabavu maeneo mengi ya Syria.
-
Iran: Marekani imepuuza sheria za haki za binadamu kwa kuunga mkono utawala wa Kizayuni
Dec 15, 2024 11:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema katika ripoti yake ya kila mwaka kuwa: Marekani imepuuza sheria za kimataifa na maamuzi yote ya taasisi za haki za binadamu kwa uungaji mkono wake mkubwa na usio na kikomo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Unicef: Ongezeko la ghasia na kuuawa watoto Ukanda wa Gaza ni maafa
Dec 15, 2024 11:03Msemaji wa Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) amesema kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza ni ya maafa matupu.
-
Waziri wa Lebanon: Israel imefanya uhalifu wa kivita wa kimazingira
Dec 14, 2024 02:28Waziri wa Mazingira wa Lebanon amesema kuwa Israel imeharibu ardhi na misitu ya kusini mwa hiyo kwa kutumia silaha zilizopigwa marufuku.
-
Kupitishwa maazimio mawili katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu vita vya Gaza na UNRWA
Dec 13, 2024 14:49Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, limepitisha kwa wingi wa kura maazimio mawili yanayotoa wito wa kusitishwa mara moja vita vya Gaza na pia kuunga mkono shughuli za Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).