-
Waisraeli waendelea kupinga hatua ya Netanyahu ya kumtimua Gallant
Nov 06, 2024 23:00Miji mbalimbali ya Israel (Palestina inayokaliwa kwa mabavu) hususan Tel Aviv iimeendelea kushuhudia maandamano makubwa ya kupinga hatua ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu ya kumfuta kazi Waziri wa Vita wa utawala huo, Yoav Gallant.
-
Kushadidi mgogoro wa Gaza kufuatia kusimamishwa shughuli za UNRWA
Nov 06, 2024 22:57Kutokana na tangazo la kusitishwa shughuli za UNRWA, taasisi za kimataifa zimeonya kuhusu uwezekano wa kuzorota zaidi hali ya maisha ya Wapalestina hususan watoto, wanawake na wagonjwa huko Ukanda wa Gaza.
-
Hizbullah yawatwanga kwa makombora wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Nov 05, 2024 23:01Wanamuqawama wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon wamevurumisha makombora katika kambi za kijeshi mahali walipokuwa wamekusanyika wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mali yaungana na makumi ya nchi za Afrika kujinaisha vitendo vya ufuska vya 'ushoga'
Nov 05, 2024 09:15Bunge la Mpito la Mali limepitisha sheria inayojinaisha vitendo vya ufuska vya 'ushoga' na kujiunga na makumi ya nchi zingine za Kiafrika zilizopitisha sheria ya kupiga marufuku vitendo hivyo vinavyotetewa na Ulimwengu wa Magharibi kwa kisingizio cha haki za binadamu.
-
Iran yasisitiza kuwa bila shaka itajibu uchokozi wa Israel
Nov 04, 2024 23:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Esmaeil Baghaei amesema bila ya shaka utawala wa Kizayuni wa Israel utapokea jibu kali kutokana na uchokozi wake wa hivi karibuni dhidi Iran.
-
Utawala wa Kizayuni wazuia kutolewa misaada kwa waliojeruhiwa kaskazini mwa Gaza
Nov 04, 2024 08:48Shirika la Ulinzi wa Raia wa Ukanda wa Gaza limetangaza hatua ya utawala katili wa Kizayuni ya kuzuia juhudi za kuwasaidia Wapalestina waliojeruhiwa kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Kiongozi Muadhamu akutana na familia za mashahidi wa uovu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran
Nov 03, 2024 09:30Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo amekutana na familia za mashahidi wa Jeshi la Ulinzi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliouawa shahidi katika uovu wa hivi karibuni wa utawala wa Kizayuni.
-
Jumapili, 03 Novemba, 2024
Nov 02, 2024 22:58Leo ni Jumapili tarehe Mosi Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1446 Hijria mwafaka na 3 Novemba 2024 Miladia.
-
Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni
Nov 01, 2024 03:41Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amempongeza Sheikh Naim Qassim kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kusema: Kikosi cha Quds kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi utakapotokomezwa mti habithi wa Uzayuni na kukombolewa Palestina na Quds Tukufu.
-
Katibu Mkuu wa UN: Dunia ichukue msimamo madhubuti dhidi ya mauaji ya kimbari huko Gaza
Oct 31, 2024 23:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwepo msimamo mkali wa kimataifa dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.