-
Adhabu kwa wanachuo wa Marekani wanaounga mkono Palestina
Jun 03, 2024 03:41Makumi ya wanachuo wa Chuo Kikuu cha Chicago nchini Marekani wameondoka katika chuo hicho wakipinga hatua ya bodi ya wakurugenzi ya kukataa kutoa shahada za wanafunzi wanaounga mkono Palestina.
-
Hizbullah ya Lebanon yadungua ndege isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni
Jun 01, 2024 23:40Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imeidungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ndani ya anga ya Lebanon.
-
Bagheri: Operesheni ya Ahadi ya Kweli ilitokomeza uwezo bandia wa Israel wa kuzuia hujuma
Jun 01, 2024 07:18Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "ubunifu na uamuzi wa Iran wa kumtia adabu mchokozi kwa operesheni ya Ahadi ya Kweli umetokomeza na kufuta uwezo hewa na bandia wa kuzuia hujuma na mashambulio wa utawala wa Kizayuni".
-
UNRWA: Wapalestina 16,000 wanaishi katika 'hali mbaya' kwenye skuli moja katikati ya Ghaza
May 31, 2024 06:44Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNWRA) limesema, zaidi ya Wapalestina 16,000 waliolazimika kuyahama makazi yao wanaishi katika hali mbaya kwenye skuli moja ya shirika hilo iliyoko katika mji wa Deir al-Balah katikati mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina
May 31, 2024 03:58Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika barua aliyowaandikia wanachuo wenye utu wanaotetea wananchi wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani, ameonyesha mshikamano wake na maandamano ya wanachuo hao dhidi ya uzayuni na kuwataja kuwa sehemu ya mrengo wa muqawama.
-
Tal al Sultan; Hospitali pekee inayofanya kazi katika mji wa Rafah
May 29, 2024 05:48Wizara ya Afya ya Gaza imetangaza kuwa ni hospitali moja tu ambayo imebaki inayotoa huduma katika mji wa Rafah kufuatia mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Donald Trump akiri juu ya udhaifu wa utawala wa Kizayuni
May 29, 2024 05:27Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani amesema katika mkusanyiko wa Wayahudi wa Marekani kwamba utawala wa Israel umepoteza uwezo wake.
-
Harakati za muqawama wa Palestina: Hatutashiriki katika mazungumzo yoyote na utawala wa Kizayuni
May 28, 2024 04:37Harakati za Mapambano za Palestina za Hamas na Jihadul Islami zimetangaza kuwa hazitashiriki tena kwenye mazungumzo yoyote baada ya utawala wa Kizayuni kushambulia kambi ya wakimbizi wa Kiaplestina katika mji wa Rafah.
-
MSF wawasilisha kesi mpya ICC dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya waandishi habari Gaza
May 27, 2024 23:14Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imewasilisha mashtaka mapya katika mahakama ya kKimataifa ya Jinai (ICC) kufuatia jinai za kivita za utawala wa Kizayuni dhidi ya waandishi wa habari katika Ukanda wa Gaza.
-
Amnesty International yaitaka mahakama ya ICC kuchunguza jinai za Israel Rafah
May 27, 2024 08:27Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah katika Ukanda wa Gaza.