Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Jeshi la Syria laingia Khan Sheikhoun, katika awamu muhimu ya ukombozi wa Idlib

    Jeshi la Syria laingia Khan Sheikhoun, katika awamu muhimu ya ukombozi wa Idlib

    Aug 20, 2019 02:26

    Jeshi la Syria usiku wa kiamkia tarehe 18 Agosti liliingia katika eneo la Khan Sheikhoun huko kusini mwa mkoa wa Idlib.

  • Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo

    Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo

    Aug 08, 2019 07:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa maalumu na kusisitiza kuwa, inapinga makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Uturuki ya kutenga eneo ati litakaloitwa 'eneo la usalama' kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Wanamgambo wa Haftar watungua droni ya Uturuki huko Libya

    Wanamgambo wa Haftar watungua droni ya Uturuki huko Libya

    Jul 21, 2019 22:03

    Duru zenye mfungamano na wanamgambo wanaojiita jeshi la kitaifa la Libya wanaoongozwa na kamanda Khalifa Haftar zimeripoti kuwa wanamgambo hao wametungua droni ya Uturuki katika anga ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki

    Jul 19, 2019 22:01

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, kwa sasa serikkali ya Washington haina mpango wa kuiwekea vikwazo Uturuki.

  • Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki

    Jul 19, 2019 01:50

    Hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka kwa Russia imezusha mgogoro mkubwa katika uhusiano wake na Marekani hasa kwa kuzingatia kuwa kabla ya hapo pia Ankara na Washington zilikuwa tayari zina mzozo baina yao.

  • Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Jul 18, 2019 08:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa radiamali kuhusiana na uamuzi wa Marekani wa kuiondoa serikali ya Ankara kwenye mpango wa kununua ndege za kivita za F 35 na kusema kuwa, uamuzi huo wa Washington unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano baina yao.

  • Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Jul 17, 2019 21:50

    Uamuzi wa Uturuki wa kununua mfumo wa kisasa wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia umezusha mikwaruzano mikubwa ambayo haijawahi kushuhudiwa katika uhusiano wa Uturuki na Marekani.

  • Maelfu waandamana Uturuki kuilaani Marekani, Israel

    Maelfu waandamana Uturuki kuilaani Marekani, Israel

    Jul 16, 2019 22:50

    Maelfu wa wananchi wa mji wa Adana wa kusini mwa Uturuki wamefanya maandamano ya kuilaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uturuki kuendelea na mpango wa kuchimba mafuta na gesi Bahari ya Mediterania licha ya upinzani wa EU

    Uturuki kuendelea na mpango wa kuchimba mafuta na gesi Bahari ya Mediterania licha ya upinzani wa EU

    Jul 16, 2019 22:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesisitiza kuwa, nchi hiyo itaendelea na mpango wake wa kutafuta mafuta na gesi mashariki ya bahari ya Mediterania licha ya agizo la Umoja wa Ulaya kuitaka isimamishe mpango huo.

  • Uturuki: Mfumo wa makombora wa S-400 si chaguo, ni hitajio la lazima kwa usalama wetu

    Uturuki: Mfumo wa makombora wa S-400 si chaguo, ni hitajio la lazima kwa usalama wetu

    Jul 14, 2019 08:52

    Waziri wa Ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar ameiambia Marekani kuwa uamuzi wa nchi yake wa kununua mfumo wa ulinzi wa makombora wa S-400 kutoka Russia hautokani na chaguo la ufadhilishaji, bali ni hitajio la lazima kwa usalama wa nchi hiyo kwa sababu inakabiliwa na tishio kubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS