Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Jul 13, 2019 02:43

    Mwanadiplomasia na mgombea wa zamani wa uchaguzi wa rais nchini Misri, Abdullah al-Ashaal amezitaka nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki.

  • Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Jul 12, 2019 20:38

    Uturuki imepokea shehena ya kwanza ya mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia licha ya makelele na vitisho vya Marekani.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Jul 11, 2019 21:55

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.

  • Mbunge wa Uturuki aionya Marekani juu ya kuishambulia kijeshi Iran

    Mbunge wa Uturuki aionya Marekani juu ya kuishambulia kijeshi Iran

    Jun 28, 2019 23:36

    Öztürk Yılmaz, mbunge wa Uturuki, ameionya Marekani juu ya kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoweza kuibua mapigano katika eneo.

  • Erdogan asisitiza tena juu ya ulazima wa kuanzishwa eneo salama huko Syria

    Erdogan asisitiza tena juu ya ulazima wa kuanzishwa eneo salama huko Syria

    Jun 26, 2019 21:51

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine tena amesisitiza juu ya udharura wa kuanzishwa eneo salama kaskazini mashariki mwa Syria na karibu na mpaka wa Uturuki kwa lengo la kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wa Syria.

  • Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Jun 20, 2019 03:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.

  • Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Jun 18, 2019 08:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.

  • Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Jun 16, 2019 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 07:37

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • Rais Erdoğan: Licha ya mashinikizo ya Marekani, tutanunua ngao ya S 400

    Rais Erdoğan: Licha ya mashinikizo ya Marekani, tutanunua ngao ya S 400

    Jun 05, 2019 00:11

    Kwa mara nyingine Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, licha ya mashinikizo ya Marekani yanayoitaka inchi yake kuachana na mpango wa kununua ngao ya makombora ya S 400 ya Russia, Ankara haitoachana na azma yake ya kununua ngao hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS