-
Uturuki: Mfumo wa makombora wa S-400 si chaguo, ni hitajio la lazima kwa usalama wetu
Jul 14, 2019 08:52Waziri wa Ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar ameiambia Marekani kuwa uamuzi wa nchi yake wa kununua mfumo wa ulinzi wa makombora wa S-400 kutoka Russia hautokani na chaguo la ufadhilishaji, bali ni hitajio la lazima kwa usalama wa nchi hiyo kwa sababu inakabiliwa na tishio kubwa.
-
Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki
Jul 13, 2019 02:43Mwanadiplomasia na mgombea wa zamani wa uchaguzi wa rais nchini Misri, Abdullah al-Ashaal amezitaka nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki.
-
Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia
Jul 12, 2019 20:38Uturuki imepokea shehena ya kwanza ya mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia licha ya makelele na vitisho vya Marekani.
-
Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena
Jul 11, 2019 21:55Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.
-
Mbunge wa Uturuki aionya Marekani juu ya kuishambulia kijeshi Iran
Jun 28, 2019 23:36Öztürk Yılmaz, mbunge wa Uturuki, ameionya Marekani juu ya kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoweza kuibua mapigano katika eneo.
-
Erdogan asisitiza tena juu ya ulazima wa kuanzishwa eneo salama huko Syria
Jun 26, 2019 21:51Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine tena amesisitiza juu ya udharura wa kuanzishwa eneo salama kaskazini mashariki mwa Syria na karibu na mpaka wa Uturuki kwa lengo la kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wa Syria.
-
Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki
Jun 20, 2019 03:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.
-
Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri
Jun 18, 2019 08:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.
-
Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo
Jun 16, 2019 03:14Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.
-
Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake
Jun 08, 2019 07:37Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.